JLW:Siri za Kudumu

Ni kitu gani kimoja ulichojifunza kwenye ndoa/mahusiano ambacho hukukijua ulipokuwa kijana?
Vingi mno , vingi sana .

Ila kimoja wapo ni kupoteza freedom yako wewe mwanaume mpaka kurudi kwenye ardhi.

Ndio maana mimi siku moja moja na chukua chumba na kaa peke yangu kutwa nzima ama usiku mzima .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…