JKT watangaza nafasi za kujitolea

JKT watangaza nafasi za kujitolea

Afande Nyati

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,385
Reaction score
1,414
attachment.php

 

Attachments

  • Screenshot from 2015-03-17 10:46:42.png
    Screenshot from 2015-03-17 10:46:42.png
    27.8 KB · Views: 15,477
Nafasi za kujitolea?
Hii kauli inamaanisha kwamba ??
 
Hiari yako kwenda na hakuna guarantee ya ajira. Ova

Duh! Mkuu mbona hiyo ni risk sana!
Vipi miaka iliyopita scale inaoneshaje kwa waliojitolea??
Bado wako mitaani ama tayari?
 
Kwanini watu wanaendelea enda huko jeshini? Je hawana cha maendeleo kufanya kwa ajiri ya maisha yao?
 
Duh! Mkuu mbona hiyo ni risk sana!
Vipi miaka iliyopita scale inaoneshaje kwa waliojitolea??
Bado wako mitaani ama tayari?

Wapo ambao wako mtaani, wengine wamebaki kwny makambi na wengine wamebahatika kupata ajira. So kila mtu kule na bahati yake
 
Nime screenshot……
 

Attachments

  • 1426542260214.jpg
    1426542260214.jpg
    60.9 KB · Views: 2,435
Wapo ambao wako mtaani, wengine wamebaki kwny makambi na wengine wamebahatika kupata ajira. So kila mtu kule na bahati yake

Huwa ni kawaida kwamba nafasi zote zinazoltolewa na jkt huwa ni za mfumo huu huu wa kujitolea?

Vipi na wenye profession zao?
 
Nashauri makamanda tujiunge kwa wingi ili wakati wa kuingia msituni tusipate shida maana taifa linaelekea huko.
 
Huwa ni kawaida kwamba nafasi zote zinazoltolewa na jkt huwa ni za mfumo huu huu wa kujitolea?

Vipi na wenye profession zao?

Kwa hilo mkuu cna uwelewa zaid, ila waweza pitia fom ya maelekezo wameweka kila kitu kuanzia drs la saba mpk shahada na qualification zao.
 
Kwanini watu wanaendelea enda huko jeshini? Je hawana cha maendeleo kufanya kwa ajiri ya maisha yao?
Kule chakula bure tena menyu ya kufa MTU na posho juu so kwanini watu wasikimbilie hahaha
 
Kwa hilo mkuu cna uwelewa zaid, ila waweza pitia fom ya maelekezo wameweka kila kitu kuanzia drs la saba mpk shahada na qualification zao.

Nimepitia vizuri mkuu hizo vigezo zao.
Tatizo linakuja hapo mtu ana profession yake nzuri tu halafu mwisho wa siku awe hana uhakika wa ajira.

Sasa nimejaribu kuangalia na waliopita labda wamekumbana na kadhia ya ukosefu wa ajira ama la wakati wana viwango...

Huko naambiwa Majeshi yote hupitia kuchukua watu wanaofaa, sasa itakuwaje probability ya kukosa ajira iwe kubwa?
 
Nashauri makamanda tujiunge kwa wingi ili wakati wa kuingia msituni tusipate shida maana taifa linaelekea huko.

Kama mliwakimbia watoto wadogo tu pale kigogo, mabibo, yombo n.k huko msituni ndo mtaweza?

Hebu acha kucheza na civil war, its the matter of dying not kidding about life.
 
Huwa ni kawaida kwamba nafasi zote zinazoltolewa na jkt huwa ni za mfumo huu huu wa kujitolea?

Vipi na wenye profession zao?
kama una professional nenda tu we we nafasi za kadeti zikitoka we we hutokosa au hautaki kuitwa liuetenant Excel
 
Last edited by a moderator:
Nimepitia vizuri mkuu hizo vigezo zao.
Tatizo linakuja hapo mtu ana profession yake nzuri tu halafu mwisho wa siku awe hana uhakika wa ajira.

Sasa nimejaribu kuangalia na waliopita labda wamekumbana na kadhia ya ukosefu wa ajira ama la wakati wana viwango...

Huko naambiwa Majeshi yote hupitia kuchukua watu wanaofaa, sasa itakuwaje probability ya kukosa ajira iwe kubwa?

Yah ni kweli, ila ukirejea tangazo lao walilolitoa mwishoni mwa mwaka jana walitoa angalizo. Kwamba kwenda JKT kujitolea co ndo kwamba watakuhakikishia ajira. Yawezekana uhitaji wa hayo majeshi ukawa ni mdogo kuliko watu walioko jkt, (demand kubwa kuliko supply) hapa watu wa uchumi watanielewa.
Kwa hapo sasa wenyewe na taratibu zao ndo watakaoamua mkuu.
 
kama una professional nenda tu we we nafasi za kadeti zikitoka we we hutokosa au hautaki kuitwa liuetenant Excel

Mkuu hii ni nafasi njema sana ya ajira. hapa ukivunga tu unaweza ukashangaa ukakaa home kwa miaka si chini ya mi5! teh..

Nikipata nafasi mi nasepa bila kujiuliza mara mbili mbili.
 
Yah ni kweli, ila ukirejea tangazo lao walilolitoa mwishoni mwa mwaka jana walitoa angalizo. Kwamba kwenda JKT kujitolea co ndo kwamba watakuhakikishia ajira. Yawezekana uhitaji wa hayo majeshi ukawa ni mdogo kuliko watu walioko jkt, (demand kubwa kuliko supply) hapa watu wa uchumi watanielewa.
Kwa hapo sasa wenyewe na taratibu zao ndo watakaoamua mkuu.

Mkuu nimekuelewa kote kote ulikoongea.

Watu wameshaanza kupiga madili hapa mjini.

Jana usiku nimeongea na jamaa yangu mmoja hivi, mambo aliyoiambia yani hata sijaamini...

All in all bongo kuna tatizo kubwa sana la ajira...
 
Back
Top Bottom