Jkt wamenivuruga msaada kwenu wadau

Jkt wamenivuruga msaada kwenu wadau

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,598
Reaction score
5,187
Habari wana jamii natumaini muwazima wa afya.Kwa ufupi mimi ni mhitimu wa kidato cha 4, mwaka 2009 ,NImehangaika sana kupata nafasi ya jkt tangu2010BILA MAFANIKIO,leo hiinafasi zimetoka pia na kwa bahati nzuri nimempata refarii wa kuweza kunisaidia ila kikwazo ni kwamba baada ya kufuatilia kwa kina akabaini kuwa nafasi zile ni kwa ajili ya kuwawezesha kuitegemea baada ya kumaliza mafunzo ingawa mtu anaweza bahatika akachaguliwa kujiunga na majeshi yetu kabla ya kuMALIZIKA mafunzo Ambayo ni ya miaka miwili .lengo langu ni kupata ajira ambayo itapunguza japo NJAA nilyonayo naombeni msaada wenu NIENDE AMA NISIENDE
 
Kama unafkiria Mara mbili mbili kwenda ... Tafuta connection uwe PUNDA
 
Nenda mengine utajua huko huko unataka upate uhakika wa kazi wakati hata mafunzo haujaanza
 
kijana acha kujifikiria mara mbili neda huko ajira zote za majeshi asa hivi zimetokea huko mi mwenyewe nilipitia huko na sasa ni mwana usalama wa Nchi hii
 
habari wana jamii
natumaini muwazima wa afya.kwa ufupi mimi ni mhitimu wa kidato cha 4,
mwaka 2009 ,nimehangaika sana kupata nafasi ya jkt tangu2010bila
mafanikio,leo hiinafasi zimetoka pia na na kwa bahati nzuri nimempata
refarii wa kuweza kunisaidia ila kikwazo ni kwamba baada ya kufuatilia
kwa kina akabaini kuwa nafasi zileni kwa ajili ya kuwawezesha
kuitegemea baada ya kumaliza mafunzo ingawa mtu anaweza bahatika
akachaguliwa kujiunga na majeshi yetu kabla ya kufamalizika mafunzo
ambayo ni ya miaka miwili .lengo langu ni kupata ajira ambayo itapunguza
japo njaa nilyonayo naombeni msaada wenu niende ama nisiende
tukushauri nini sasa hujionei huruma kulala sebuleni kwa shemeji wamwisho kulala wakwanza kuamka afu et bado najiuliza kwa watu kama majeshini hamna nafasi
 
Habari wana jamii natumaini muwazima wa afya.Kwa ufupi mimi ni mhitimu wa kidato cha 4, mwaka 2009 ,NImehangaika sana kupata nafasi ya jkt tangu2010BILA MAFANIKIO,leo hiinafasi zimetoka pia na na kwa bahati nzuri nimempata refarii wa kuweza kunisaidia ila kikwazo ni kwamba baada ya kufuatilia kwa kina akabaini kuwa nafasi zileni kwa ajili ya kuwtawezesha kuitegemea baada ya kumaliza mafunzo ingawa mtu anaweza bahatika akachaguliwa kujiunga na majeshi yetu kabla ya kufaMALIZIKA mafunzo Ambayo ni ya miaka miwili .lengo langu ni kupata ajira ambayo itapunguza japo NJAA nilyonayo naombeni msaada wenu NIENDE AMA NISIENDE

Kama umepata nenda tu
 
nenda dogo, wenzako njaa zimesha waisha na wamepita hukohuko.
 
Habari wana jamii natumaini muwazima wa afya.Kwa ufupi mimi ni mhitimu wa kidato cha 4, mwaka 2009 ,NImehangaika sana kupata nafasi ya jkt tangu2010BILA MAFANIKIO,leo hiinafasi zimetoka pia na na kwa bahati nzuri nimempata refarii wa kuweza kunisaidia ila kikwazo ni kwamba baada ya kufuatilia kwa kina akabaini kuwa nafasi zileni kwa ajili ya kuwawezesha kuitegemea baada ya kumaliza mafunzo ingawa mtu anaweza bahatika akachaguliwa kujiunga na majeshi yetu kabla ya kufaMALIZIKA mafunzo Ambayo ni ya miaka miwili .lengo langu ni kupata ajira ambayo itapunguza japo NJAA nilyonayo naombeni msaada wenu NIENDE AMA NISIENDE

kama una kipaji cha kuimba au mpira itakusaidia zaid kuingia JW. Sana sana kuimba
 
Title yako bana. Et. Umevurugwa unajua kuvurugwa wewe?
NEnda uwe na maisha yako na Kama miaka yako itaruhusu yaani Chin ya 23 unaweza ingia jeshin Kama ni chini ya graduaTe .umri huo ni baada ya miaka miwili,
KaZi ni kwako nenda bwana hata TANAPA huwachukua
 
title yako bana. Et. Umevurugwa unajua kuvurugwa wewe?
Nenda uwe na maisha yako na kama miaka yako itaruhusu yaani chin ya 23 unaweza ingia jeshin kama ni chini ya graduate .umri huo ni baada ya miaka miwili,
kazi ni kwako nenda bwana hata tanapa huwachukua

mwaka huu ndo 23 itakuwaje hapo
 
We lala tuu utalaliwa ...endelea kupoteza muda alafu uone kip bora uende au usiende
 
Title yako bana. Et. Umevurugwa unajua kuvurugwa wewe?
NEnda uwe na maisha yako na Kama miaka yako itaruhusu yaani Chin ya 23 unaweza ingia jeshin Kama ni chini ya graduaTe .umri huo ni baada ya miaka miwili,
KaZi ni kwako nenda bwana hata TANAPA huwachukua
hapa wala sijakusoma
 
Back
Top Bottom