JKT nomaaa

chazy255

JF-Expert Member
Mar 31, 2016
1,363
1,754
3ca116ab962822ee466bb1c54e003aa2.jpg
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu,Kama kungekuwa na uwezekano wa kurudia tena ningekuwa wa kwanza.
 
hilo zoezi ni la nini? na linamaana gani? kwasababu mm najua kila zoezi linamaana yake ila hilo zoezi la kugalagala kwenye vumbi sijalielewa maana yake nini.
 
hilo zoezi ni la nini? na linamaana gani? kwasababu mm najua kila zoezi linamaana yake ila hilo zoezi la kugalagala kwenye vumbi sijalielewa maana yake nini.
Unafunzwa kutojali hali au mazingira ...yaani hata kwenye maji machafu unalala ili kumvizia adui au kukwepa risasi ya adui...
 
Back
Top Bottom