JKT au Chuo?

JKT au Chuo?

Ngurubhe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
1,840
Reaction score
1,049
Wadau,niwaombeni ushauri,kijana wenu nimemalza form six hivi majuzi,na nilibahatika kwenda JKT na nikamliza kozi ya miezi mitatu.

Nilikuwa pia nimefanya michakato ya kujiunga na chuo na nimepata kozi ya BBA,
Leo nimepigiwa simi na JKT naulizwa kama napenda kuendelea kulitumikia Jeshi nirudi tena.
Hali hii imeniweka njiapanda kuwa je niende JKT au niende chuo!?....nimewaomba ushauri watu kadhaa,naona wanazidi kunichanganya tu. Pamoja na.kuwa natakaiwa kuamuavmwenyewe kipi kifanyike lakini si dhambi kuwaombeni japo kwa ushari. Tu kwani mimi Naamini hapa Jf hapan kitakacho harbka kwa kunishauri tu kuwa je niende chuo au nirudi tena Jeshini? Kwani wamedai kuna kozi maalum tutakiwa kuzisoma hasa sie tulichukwa masomo ya sayansi..nisaidieni mdogo wenu kulingana na uzoefu wenu tafadhari!
 
kwa maelezo yao ni kwamba utaenda kupiga kozi ya miezi 9 [officer cardet] yan luteni mana hautopitia uanajeshi wa kawaida[private] then ukimaliza inabidi uendelee kulitumikia jeshi hadi nafasi za kusomea proffesion yako zitakapotoka then inaweza ikawa baada ya mwaka mmja/miwili au hata zaidi ila nachokushauri kama unalipenda jeshi we nenda jeshini make huku uraiani kunazingua waweza soma ukaja ukasota kupata ajira ila kama hulipendi achana nalo uende chuo maisha ya jeshi pia yanahitaji moyo
 
unapenda kuwa mwanajeshi? yaani wito toka moyoni.
then I'll advice you more
 
Achana na jeshi kijana. Ina maana mpaka hapo ulipo ulikuwa bado huna ndoto? Pole sana. Ukupigiwa simu na TRA?Utaenda? Ukipigiwa sm na TANAPA utaenda? Kaa na ndoto zako ndo ufanikiwe. Tatzo wazaz hatuwalei watoto wetu kujua ndoto zao. Wanatangatanga tu. Mara jeshi, mara chuo, mara uraiani, mar.............aaaaah bhana we!
 
Km unapenda jeshi nenda .wenzio mtaani kibao wana BBA..hawana kazi..ukishaajiriwa jeshini waweza kuja soma hiyo BBA yako...ht km ni evening classes ili mradi una kazi yako ya hakika
 
Mkuu,, ajira huku kitaa ni ngumu sana lakini hiyo haimaanishi uzime ndoto zako,,,, kama unalipenda Jeshi aisee usijifikirie tena we nenda pande hizo,,, ila kama haulipend unataka ujilazimishe tu,, we nenda chuo,,, bt ingekuwa upande wangu mm na life lililopo huku kitaa hiyo ilikuwa ni my golden chance ningeenda Jeshi,,
 
Kama walikuona unafaa hata baada kupata shahada bado watakuhitaji. Nenda chuo kwanza bahati yako haitapotea!
 
Nenda jeshi kijana kitaa hakufai ukitaka angalia usaili wa jkt ndo utajua ni majanga jeshi si gereza unaweza kuendeleza unachotaka hata phd
 
Wadau,niwaombeni ushauri,kijana wenu nimemalza form six hivi majuzi,na nilibahatika kwenda JKT na nikamliza kozi ya miezi mitatu.

Nilikuwa pia nimefanya michakato ya kujiunga na chuo na nimepata kozi ya BBA,
Leo nimepigiwa simi na JKT naulizwa kama napenda kuendelea kulitumikia Jeshi nirudi tena.
Hali hii imeniweka njiapanda kuwa je niende JKT au niende chuo!?....nimewaomba ushauri watu kadhaa,naona wanazidi kunichanganya tu. Pamoja na.kuwa natakaiwa kuamuavmwenyewe kipi kifanyike lakini si dhambi kuwaombeni japo kwa ushari. Tu kwani mimi Naamini hapa Jf hapan kitakacho harbka kwa kunishauri tu kuwa je niende chuo au nirudi tena Jeshini? Kwani wamedai kuna kozi maalum tutakiwa kuzisoma hasa sie tulichukwa masomo ya sayansi..nisaidieni mdogo wenu kulingana na uzoefu wenu tafadhari!
Kwa experience watu wengi wameliosoma BBA wapo mtaani hawana ajira na kwa elimu ya bongo haimuandai mlengwa kuja kuwa self employed nakushauri nenda zako jeshini kapige kozi kula ajira jipange afu omba kwenda kusoma usome ukiwa na ajira yako!
 
unapenda kuwa mwanajeshi? yaani wito toka moyoni.
then I'll advice you more

Spendi sana lakni kama nishauliwa zaidi naweza kumudu mtiti wa huko..
 
Achana na jeshi kijana. Ina maana mpaka hapo ulipo ulikuwa bado huna ndoto? Pole sana. Ukupigiwa simu na TRA?Utaenda? Ukipigiwa sm na TANAPA utaenda? Kaa na ndoto zako ndo ufanikiwe. Tatzo wazaz hatuwalei watoto wetu kujua ndoto zao. Wanatangatanga tu. Mara jeshi, mara chuo, mara uraiani, mar.............aaaaah bhana we!

Ndoto zipo lakini si dhambi pia kujua kipi kinafaa kati ya mawili,na kwakuwa kuna wazoefu si haba nikapata mawili matatu nikichangana na yangu niajua cha kufanya mkuu...
 
Kwa experience watu wengi wameliosoma BBA wapo mtaani hawana ajira na kwa elimu ya bongo haimuandai mlengwa kuja kuwa self employed nakushauri nenda zako jeshini kapige kozi kula ajira jipange afu omba kwenda kusoma usome ukiwa na ajira yako!

Seen mkuu
 
Inategemea malengo yako ungependa uwe nani siku za usoni. Nacho jua serikalini hasa kwenye majeshi umri ni kigezo kikubwa unaweza kwenda chuo ukasoma hata degree tano ukienda kuomba nafasi utaambiwa hukidhi vigezo . Hivyo kama ndoto zako ni kuwa mjeda wakati ndo huu.
 
Achana na jeshi kijana. Ina maana mpaka hapo ulipo ulikuwa bado huna ndoto? Pole sana. Ukupigiwa simu na TRA?Utaenda? Ukipigiwa sm na TANAPA utaenda? Kaa na ndoto zako ndo ufanikiwe. Tatzo wazaz hatuwalei watoto wetu kujua ndoto zao. Wanatangatanga tu. Mara jeshi, mara chuo, mara uraiani, mar.............aaaaah bhana we!


Kijana achana na ndoto fanya vitu harisi, maisha ya ndoto ni enzi zile na inaonekana zimeshayeyuka km ulisoma sayansi ulitegemea kuea mhandisi au dakatari sasa umechaguliwa kusomea utawala, hapo bado kuna ndoto tena? km kweli ulipenda sayansi na jeshi wanakuhitaji kusomea sayansi kozi maalumu me nakushauri km umri wako bado mdogo jeshini utafika mbali ukianza na nyota moja yaani luteni usu. mpaka ufike umri wa miaka 40 si haba unaweza kufika rank ya kanali. lkn jeshi ni wito km haimo ndani ya moyo wako acha nenda shule, askari asiye na moyo hawezi kulinda nchi yake.
 
Kijana achana na ndoto fanya vitu harisi, maisha ya ndoto ni enzi zile na inaonekana zimeshayeyuka km ulisoma sayansi ulitegemea kuea mhandisi au dakatari sasa umechaguliwa kusomea utawala, hapo bado kuna ndoto tena? km kweli ulipenda sayansi na jeshi wanakuhitaji kusomea sayansi kozi maalumu me nakushauri km umri wako bado mdogo jeshini utafika mbali ukianza na nyota moja yaani luteni usu. mpaka ufike umri wa miaka 40 si haba unaweza kufika rank ya kanali. lkn jeshi ni wito km haimo ndani ya moyo wako acha nenda shule, askari asiye na moyo hawezi kulinda nchi yake.

Nakusoma mkuu
 
Back
Top Bottom