Saiv vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinaajili jkt avichukui mtu kutoka mtaanina zle post za polisi moja moja sijazisikia mwaka huu
Umeskia wap ww wakat wameongezewa miez mitatuuTarehe 5 mwez wa kwanza wanarud majumbani
Mitatu nan kakwambiaUmeskia wap ww wakat wameongezewa miez mitatuu
Kuna jamaaz wangu service yupoo bulombora ndo kanipangaMitatu nan kakwambia
Ww iyo tar5 umeskia wapMitatu nan kakwambia
Subir afu utaona sipo hapa kutoa factc za uongoWw iyo tar5 umeskia wap
Acha kudharau kilimo cha nyanya mkuu na si kila mtu anaweza kulima nyanya.Kuliko jeshini Bora kulima nyanya
Ni kweli ila umehamaki wewe tu!Acha kudharau kilimo cha nyanya mkuu na si kila mtu anaweza kulima nyanya.
Mhtrue wameongezea miezi 3
Mie cnamwambiq uyuu jamaa anabishaatrue wameongezea miezi 3
Ww n muongo acha kbsa ujinga huoSubir afu utaona sipo hapa kutoa factc za uongo
😂😂😂🙌 boss na ww umemuona eeWw n muongo acha kbsa ujinga huo
Tpdf wanaenda mujibu
Atujakuelewaa elezea kidogoo boi?Tpdf wanaenda mujibu
Mwaka huu cjui ln2018 jkt update hamna any updatemwaka mgumu kilakitu,tusubir mwakahuu
Sent using Jamii Forums mobile app