unaonesha unalipenda jeshi but umewahi kukata tamaa usiwe hivyo ndg wanaume hatupaswi kukata tamaa pambana ili Sikh ukifanikiwa ushangilie ki halaliUsijari ndugu, jitoe ufahamu ukabeti kete yako huenda Mungu atakujalia, na ukikosa pia utarudi kitaa kuanza kuhustle upya (km hauna sapoti ya wazazi na ndugu km Mimi) lakini kama kwenu pesa zipo usijari hata ukikosa utarudi kitaa watakupa pesa ya kuanzia maisha ya uraiani kwa mara nyingine. Ni wewe tuu ndugu
Ukweli nd huo tatizo wengi hawalifaam hiliUSHAURI: wale vijana ambao wana nia ya dhati au ndoto ya kuingia jkt tangazo litakapotoka waende mikoani, ikiwezekana wilaya za ndani ndani huko. Kama una vyeti na umekidhi vigezo vya umri asilimia za kufanikiwa kuingia jkt ni kubwa. Kwa dar asilimia ni chache mnooo, mtapoteza tuu mda wenu
Hahahaha, watu mna maneno sanaKwa hiyo form four yako kama umezidi miaka 21 sahau kwenda kwa utawala huu nenda mafunzo ya mgambo kwa sababu naona una dalili zote za umaskini
Kabisa. Ndo maana nimewapa ushauri mapema. Wenye ndoto kweli ya kuingia huko kwa dar wasijisumbue, labda kama ni watoto wa mabrigedia. Watapigishwa round hata 10 uwanjani na bado hawatoboiUkweli nd huo tatizo wengi hawalifaam hili
Huku katavi hakuna hata kukimbia sijui round zikafanyaje n kuteleza tuKabisa. Ndo maana nimewapa ushauri mapema. Wenye ndoto kweli ya kuingia huko kwa dar wasijisumbue, labda kama ni watoto wa mabrigedia. Watapigishwa round hata 10 uwanjani na bado hawatoboi
Mimi mbona nilipitia dar mkuu...ni bahati yako tu!Kabisa. Ndo maana nimewapa ushauri mapema. Wenye ndoto kweli ya kuingia huko kwa dar wasijisumbue, labda kama ni watoto wa mabrigedia. Watapigishwa round hata 10 uwanjani na bado hawatoboi
dan mwaka jana wewe si ulienda?USHAURI: wale vijana ambao wana nia ya dhati au ndoto ya kuingia jkt tangazo litakapotoka waende mikoani, ikiwezekana wilaya za ndani ndani huko. Kama una vyeti na umekidhi vigezo vya umri asilimia za kufanikiwa kuingia jkt ni kubwa. Kwa dar asilimia ni chache mnooo, mtapoteza tuu mda wenu
Mkuu mwaka jana nliishia ground udsm kwenye mabio. Sema washkaji zangu wote walioenda mkoani mwaka jana walienda, sahivi wanaskilzia tuu makambini. Wenye fani za afya ndo walichkuliwa kuingia jwtz last weekdan mwaka jana wewe si ulienda?
Anhaa nakumbuka paroko alikuwa anakutania kuwa umekimbia sana udsm mpaka ulimi ukatoka njeMkuu mwaka jana nliishia ground udsm kwenye mabio. Sema washkaji zangu wote walioenda mkoani mwaka jana walienda, sahivi wanaskilzia tuu makambini. Wenye fani za afya ndo walichkuliwa kuingia jwtz last week
Hahaha, zile round sio poa mkuu. Afu ugumu ni kwamba idadi ya waliokua wanachkuliwa ilikua inazidi kupungua kadri level ya elimu inavyopanda. Last year bachelor walikua wanachkua mwisho 25yrs, wakifanya hivyo mwaka huu pia bado nafasi ya mwisho ipoAnhaa nakumbuka paroko alikuwa anakutania kuwa umekimbia sana udsm mpaka ulimi ukatoka nje
Ungekodi tu mashine ikikumbulie mithili ya usain bolt,ila elimu degree na umri vilikuwa sahihi tu
Dah mzee hujakata tamaa tuHahaha, zile round sio poa mkuu. Afu ugumu ni kwamba idadi ya waliokua wanachkuliwa ilikua inazidi kupungua kadri level ya elimu inavyopanda. Last year bachelor walikua wanachkua mwisho 25yrs, wakifanya hivyo mwaka huu pia bado nafasi ya mwisho ipo
Dah mzee hujakata tamaa tu
hata mimi mkuu nazani hivyo maana kimya kingi na wala hakuna tetesiIla mie sina imani kama nafasi mwaka huu zitatoka