mwikumwiku
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 153
- 35
Pamoja na umri wangu kuwa wa kawida lakini nimebahatika
kuviona na kuvitambua vipindi vyote vya u-rais na "ikulu" zake!
Kwa tathimni ya ngungu ikulu ya kipindi cha u-rais cha kikwete
is too accessible! Nina wasiwasi sana na accessibility hii, hasa
hii inayoendelea sasa kwa madai ya kujadiri mchakato wa ujio
Wa katiba mpya!
Inaonekana kwamba baada ya vyama vya siasa kumaliza zoezi
hili la "kupiga picha na Rais" sasa vitafutia vikundi vya wenye mahitaji
maalumu, NGO nk! Itakuwa ikulu kweli hii!
Kwanini hawa watu wasikutane na wasaidizi wako kwa maana ya
AG na Mawaziri husika? Au kuna usanii ndani ya mikutano?!
Binafsi naona aina mbili za usanii: kwanza baadhi ya wanaoenda
ikulu wanatafuta kusafisha nyota kwa kupiga picha na Rais; Pili
Rais naye anawapiga usanii kwa stahili hiyoyo, kahaww kdg, juice,
picha kwa wingi full kicheko! Baada ya hapo anawa-pet pet migongoni
imetoka!
Hebu tuangalie utkelezaji Wa mikutano iliyopita imezaa nini? Je
ni haya marekebisho yanayokuja bunge hili kwa kufuta "and" na kuweka "or"?
Mkapa aliwahi kuwaambia akina Mrema na wenzake kwamba
hawezi kukutana nao kwa kuwa aligundua hawana jipya ila
kupiga picha na Rais.
Hata Mbatia anakaribishwa Ikulu!!
kuviona na kuvitambua vipindi vyote vya u-rais na "ikulu" zake!
Kwa tathimni ya ngungu ikulu ya kipindi cha u-rais cha kikwete
is too accessible! Nina wasiwasi sana na accessibility hii, hasa
hii inayoendelea sasa kwa madai ya kujadiri mchakato wa ujio
Wa katiba mpya!
Inaonekana kwamba baada ya vyama vya siasa kumaliza zoezi
hili la "kupiga picha na Rais" sasa vitafutia vikundi vya wenye mahitaji
maalumu, NGO nk! Itakuwa ikulu kweli hii!
Kwanini hawa watu wasikutane na wasaidizi wako kwa maana ya
AG na Mawaziri husika? Au kuna usanii ndani ya mikutano?!
Binafsi naona aina mbili za usanii: kwanza baadhi ya wanaoenda
ikulu wanatafuta kusafisha nyota kwa kupiga picha na Rais; Pili
Rais naye anawapiga usanii kwa stahili hiyoyo, kahaww kdg, juice,
picha kwa wingi full kicheko! Baada ya hapo anawa-pet pet migongoni
imetoka!
Hebu tuangalie utkelezaji Wa mikutano iliyopita imezaa nini? Je
ni haya marekebisho yanayokuja bunge hili kwa kufuta "and" na kuweka "or"?
Mkapa aliwahi kuwaambia akina Mrema na wenzake kwamba
hawezi kukutana nao kwa kuwa aligundua hawana jipya ila
kupiga picha na Rais.
Hata Mbatia anakaribishwa Ikulu!!