Nikifufukammekwisha
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 260
- 6
Nafikiri JK angekuwa more productive kama angezitumia siku hizo 6 ofisini kwake Ikulu Dar akishughulikia na kutolea solutions matatizo yanayowa-affect wadanganyika wengi ambayo amekuwa akipigiwa sana kelele kwa kuyawekea vigugumizi visivyo na msingi wowote, kama vile EPA, Listi ya Madawa ya Kulevya, Kiwira, BOT na kadhalika. Kuandaa ziara wakati kuna sufuria likichemka jikoni haku-make any sense.