JK Ziarani Denmark

Me nadhani hii ndio serikali hopeless kuliko zote tulizowahi kuwa nazo. Yaani huyu jamaa dah tumeliwa kwa kweli tumeliwa. Matatizo ya hii nchi kwake si issue bali kutalii ndio muhimu kwake. Juzi ameenda Mbagala mikono mfukoni anaangalia wahanga wa mabomu kama vile wanyama wa Mikumi. Lakini mimi sishangai kwani ninamjua nilishangaa tu watz kumpa nchi. Alipokuwa mambo ya nje aliwahi kuweka record ya kusafiri nje consecutively kwa miezi mitatu, hii record haitavunjwa milele nadhani. Ila kama kuchemsha ndugu zangu hapa tulichemsha. Na mtoto wa mkulima naye ndio dah jamani hivi kosa gani hilo kubwa tulifanya kwa Mungu mpaka atupe viongozi fake kiasi hiki?
 
Me nadhani hii ndio serikali hopeless kuliko zote tulizowahi kuwa nazo. Yaani huyu jamaa dah tumeliwa kwa kweli tumeliwa. Matatizo ya hii nchi kwake si issue bali kutalii ndio muhimu kwake. Juzi ameenda Mbagala mikono mfukoni anaangalia wahanga wa mabomu kama vile wanyama wa Mikumi. Lakini mimi sishangai kwani ninamjua nilishangaa tu watz kumpa nchi. Alipokuwa mambo ya nje aliwahi kuweka record ya kusafiri nje consecutively kwa miezi mitatu, hii record haitavunjwa milele nadhani. Ila kama kuchemsha ndugu zangu hapa tulichemsha. Na mtoto wa mkulima naye ndio dah jamani hivi kosa gani hilo kubwa tulifanya kwa Mungu mpaka atupe viongozi fake kiasi hiki?


Majuto ni mjukuu............., nnimejaribu kumtetea Vasco hateteeki! Umesahau rekodi nyingine mkuu, ni matumizi mabaya ya fedha wizara yake ya mambo ya nje enzi zake.
 
Ze Comedy (Kikwete) siku hizi mbona hakutani na Watanzania huko anako-Vasdagamalia? Hebu waungwana huko Denmark tuhabarisheni kama kutakuwa na Q&A.

Safari ya mwisho niliyosikia amekutana na Watanzania na kujibu maswali yao nafikiri Lowassa bado alikuwa anatawala? Imekuwaje Kasi na Ari Mpya anawakimbia watwana wake siku hizi?
 
Ukienda hapo Kenya utasikia mala chache sana Mwai Kibaki kasafiri....lakini rais wetu kwa kuzulula kha! eti anatafuta wawekezaji,wafadhili duh
 
Ukienda hapo Kenya utasikia mala chache sana Mwai Kibaki kasafiri....lakini rais wetu kwa kuzulula kha! eti anatafuta wawekezaji,wafadhili duh

Kwani Tanzania bila ya Misaada inawezekana??? Mwacheni JK azurure kutafuta misaada Jamani. Kila kona kuna UFISADI, sasa si inabidi apunguze mawazo kwa kutembelea nchi nyingine!!!!?? Kwani Nyinyi hamjui kuwa alipata marafiki wengi nchi za nje wakati akiwa Waziri wa Mambo ya Nje??? Sasa huu ndio wakati wake wa kwenda kuwatembelea jamani...

Hii ndio Tanzania, nchi yenye amani raia wake wanabaki kulalamika kwenye vijiwe, kwenye blogs mbalimbali na ndani ya JF. Finaly tunasahau na kusahau yote yaliyofanywa na serikali ya CCM.

Tusiahau kale ka wimbo ketu; TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA SANA....
 
Kwani Tanzania bila ya Misaada inawezekana??? Mwacheni JK azurure kutafuta misaada Jamani.....

The Farmer,
Ukweli ni kuwa Tanzania haihitaji kabisa hiyo misaada. Kwenye ile bajeti ya Ze Comedy (JK), ukiondoa pesa;
  1. Zinazoibiwa kila mwaka kulingana na mkaguzi wa mahesabu,
  2. Zinazopotea kwenye tenda kama za ID, Dowans, Ujenzi mbali mbali, n.k
  3. Zinazopotezwa na wasiolipa kodi kama Rostam n.k.,
  4. Ukiondoa gharama za ziara za JK,
  5. Ziara za Mama Salma,
  6. Ziara za Mawaziri nje ya nchi,
  7. Ziara za Mawaziri nchini,
  8. Ziara za Mawaziri (kuelezea bajeti),
  9. Gharama za kununua na kubadilisha Mashangingi kila mwaka,
  10. Ongezea nyinginezo hapa...........
Utaona kuwa Tanzania haihitaji msaada wowote kwa ajili ya bajeti yake, maana mahesabu yake yangebalansi vizuri kabisaa.
 
Kwani Tanzania bila ya Misaada inawezekana??? Mwacheni JK azurure kutafuta misaada Jamani. Kila kona kuna UFISADI, sasa si inabidi apunguze mawazo kwa kutembelea nchi nyingine!!!!?? Kwani Nyinyi hamjui kuwa alipata marafiki wengi nchi za nje wakati akiwa Waziri wa Mambo ya Nje??? Sasa huu ndio wakati wake wa kwenda kuwatembelea jamani...Hii ndio Tanzania, nchi yenye amani raia wake wanabaki kulalamika kwenye vijiwe, kwenye blogs mbalimbali na ndani ya JF. Finaly tunasahau na kusahau yote yaliyofanywa na serikali ya CCM.Tusiahau kale ka wimbo ketu; TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA SANA....
I wish I was born in 1700* where there was no Danganyika or TZ. If my wish had happened I was not going to witness this mess. I was going to die a happy man because by then there was no Mr. President, our chiefs did not know Denmark and could not fly around like our Hon. Mr. JK. Furthermore there were no FISADIS.....................
Otherwise, I wish I live in Y3K where there will be TZ with no FISADIS and our leaders will be responsible and accountable for what the do siyo ubabaishaji huu.............. All of these guys will be history.

Oh no!!! I was dreaming!!! sorry, I though it was real!!!!

Mungu ibariki TZ na watu wake....................................
 
The Farmer,
Ukweli ni kuwa Tanzania haihitaji kabisa hiyo misaada. Kwenye ile bajeti ya Ze Comedy (JK), ukiondoa pesa;
  1. Zinazoibiwa kila mwaka kulingana na mkaguzi wa mahesabu,
  2. Zinazopotea kwenye tenda kama za ID, Dowans, Ujenzi mbali mbali, n.k
  3. Zinazopotezwa na wasiolipa kodi kama Rostam n.k.,
  4. Ukiondoa gharama za ziara za JK,
  5. Ziara za Mama Salma,
  6. Ziara za Mawaziri nje ya nchi,
  7. Ziara za Mawaziri nchini,
  8. Ziara za Mawaziri (kuelezea bajeti),
  9. Gharama za kununua na kubadilisha Mashangingi kila mwaka,
  10. Ongezea nyinginezo hapa...........
Utaona kuwa Tanzania haihitaji msaada wowote kwa ajili ya bajeti yake, maana mahesabu yake yangebalansi vizuri kabisaa.

Makaayamawe naona hujanipata vizuri, Tatizo ni sisi wadanganyika tunaopiga kelele juu ya UFISADI, yani hayo yote uliyo ya orodhesha hapo ni mambo ya kifisadi. Yanafanyika ndani ya nchi yetu inayoongozwa na serikali ya KIFISADI. Kinacho jadiliwa humu ndani ya JF ni kuhusu njia gani ya kutumia ili kukomesha UFISADI na kuiokoa nchi yetu.

Wazo langu ni ku-strike nchi nzima kwa sababu naona tukipitia kwenye mkondo washeria tutagonga mwamba. WHEN DIPLOMACY FAILED VIOLENCE MUST APPLY
 
Jamani msisahau kuwa katika kila watz 100 watu 82 walipendezewa na kumchagua "Laisi" huyu aliye madarakani. Nashukuru Mungu sikuwa miongoni mwao ingawa gharama yake naibeba na nahisi kwa jinsi wadanganyika walivyo MAZOBA ntaibeba mpaka 2015.

Shame on 82% who voted him in...
 
Jamani kuna mtu yeyote mwenye trip records za mkuu wa nchi tangu aingie madarakani. Mimi nadhani tuziweke wazi halafu kama inawezekana zitolewe kwenye magazeti,au blog ya ikulu kama ipo kuonyesha gharama zote,hasara na faida za safari zote tangu aingie madarakani. Huu ni uwendawazimu uliokithiri halafu tunasema Tanzania maskini.Huyu mtu tulimchagua kuiongoza nchi au tulimchagua kufanya utalii na kutembeza bakuli lake. kama mnakumbuka vizuri alipotaka kugombea urais nadhani baada ya kipindi cha Mwinyi, Mwalimu alisema hivi kwenye kikao cha NEC Dodoma 'hatujaja kutoa posa hapa au kutangaza uzuri' mimi nadhani hakukosea kabisa nadhani alimfahamu kabisa huyu ni mtu wa namna gani.
 
Kwa staili hii ya kuzurura hovyo, katiba yetu inatakiwa kuwa na kipengele juu ya ziara za Rais nje. Zisizidi tano kwa mwaka!
 
Kwa staili hii ya kuzurura hovyo, katiba yetu inatakiwa kuwa na kipengele juu ya ziara za Rais nje. Zisizidi tano kwa mwaka!

Mpaka sasa nadhani muda alioutumia JK kwenye uongozi wake, 60% ni kwenye ziara na 40% Nyumbani Tanzania. Je wandanganyika tutafika kweli huko tuendako??????
 
Back
Top Bottom