Kipre tchetche
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 238
- 40
Taifa linaomboleza yeye kapata wapi
ujasiri wa kufanya sherehe ikulu?
Ameshindwa hata kuja eneo la tukio
hivi hata hao mabalozi nao kwanini
wanakubali kuburutwa na mtu katili
namna hii .wewe ualikwe na mtu aliefiwa
na amekwambia anasherehe ya mwaka mpya
na unajua amefiwa na watu zaidi ya mmoja
kwanini usijielekeze kwenye msiba?
ujasiri wa kufanya sherehe ikulu?
Ameshindwa hata kuja eneo la tukio
hivi hata hao mabalozi nao kwanini
wanakubali kuburutwa na mtu katili
namna hii .wewe ualikwe na mtu aliefiwa
na amekwambia anasherehe ya mwaka mpya
na unajua amefiwa na watu zaidi ya mmoja
kwanini usijielekeze kwenye msiba?