Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 13,181
- 20,469
Hali ya upatikanaji wa chakula katika wilaya kadhaa nchini ni mbaya sana! Baadhi ya watu wanaishi kwa kula majani na kuchemsha maembe!
Kilio hiki kimetolewa na wakuu wa wilaya nyingi hapa nchini lakini hatua zinazochukuliwa na serikali ni za kusuasua! Njaa haina ngoja ngoja wala mipango iliyo mbioni.
Tafadhali JK simamia mwenyewe zoezi hili wananchi wako wanateketea! Pinda na timu yake wanaelekea kushindwa!
Kilio hiki kimetolewa na wakuu wa wilaya nyingi hapa nchini lakini hatua zinazochukuliwa na serikali ni za kusuasua! Njaa haina ngoja ngoja wala mipango iliyo mbioni.
Tafadhali JK simamia mwenyewe zoezi hili wananchi wako wanateketea! Pinda na timu yake wanaelekea kushindwa!