KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nilisikiliza jana maelezo ya JK kuhusu bomoabomoa nikweli hapa JK Umewagusa wengi kwani ubabe uliokuwa ukifanywa na Serikali juu ya Bomobomoa niwakutisha bila kujali wewe hicho kibanda umekipataje na imekuchukua mda gani mpaka ukakisimamisha na wakati mwingine Hiyo miundombinu imewakuta lakini kwakuwa imepewa jina la Barabara ya TanRoad basi wewe unakosa unapewa 48hrs uwe umeamisha kifusi chako!
Tumeona akina mama wakilia hadi kuvua nguo hadharani kwakuwalaani TanRoad!!Hapa JK umesema na wananchi katika Mioyo yako na wamekusikia ziara kama hizi ziwenatija ikibidi wengine wanaofanya Madudu waweke ndani wakati wakuoneana haya umeisha Wewe ni Rais wa JMT!
Tumeona akina mama wakilia hadi kuvua nguo hadharani kwakuwalaani TanRoad!!Hapa JK umesema na wananchi katika Mioyo yako na wamekusikia ziara kama hizi ziwenatija ikibidi wengine wanaofanya Madudu waweke ndani wakati wakuoneana haya umeisha Wewe ni Rais wa JMT!