JK wakati umefika hata hivyo hujachelewa!!

Acheni kukurupuka wakati mwengine, hebu tuwafikirie na wale wanaovunjiwa bila ya kulipwa wakati mtu ameishi hapo kwa zaidi ya miaka 15. Mi sidhani kuwa waziri mzuri ni lazima ufanyekazi kupitia vyombo vya habari baraza la mawaziri lina mawaziri wangapi, lakini kila kukicha ni mmoja anaetokea kwenye vyombo vya habari kana kwamba wenzie hawafanyikazi. Tusiwe kama bendera tu, sie kazi yetu kufuata upepo, hapana. Tuweke itikadi zetu pembeni kwenye hili, waziri wa ujenzi alichemka na wakuu wake walistahili kumuweka kwenye njia sahihi kwa manufaa ya nchi na wananchi wote kwa ujumla.
 
Kwa mtu asiyejua dhana dhana ya uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility) anaweza akampongeza JK kwa kumfokea Waziri wake hadharani. Lakini kwa mtu makini JK kafanya kosa la karne na nafikiri utawala wake anazidi kuutia doa. Haiyumkiniki mradi mkubwa kama huu wa kutengeneza barabara za kupita mabasi yaendayo kwa kasi kuwa haukujadiliwa ktk vikao mwafaka na kwamba ili uanze inabidi kuondoa majengo na vitu vilivyoingia barabarani. Mradi kama huu unahitaji upembuzi yakinifu kutoka ngazi ya wizara moja mpaka Barza la mawaziri ambalo JK ndio mwenyekiti wake. Kama Magufuri alikosea kwa kuamuru kuvunja nyumba njia mwafaka ilikuwa ni kumwita katika vikao rasmi na kumwambia asitishe au atafute njia nyingine.Lakini kukurupuka kwa kumkjeli tena ktk jimbo lake la uchaguzi la kumshindilia msumari ktk wizara yake sio kitendo kizuri ktk medani ya uongozi. JK na Pinda naona wanatakiwa wapewe darasa la dhana uongozi na uwajibikaji ili waache kuishi kama watu wa kijiweni.Kama wanafikiri kumshushua waziri hadharani ndio mtaji kisiasa wenye akili hawaoni hivyo ila wanaona ndio anguko la serikali isiyojifunza bali ya kisanii


Kwa mtu asiyejua dhana dhana ya uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility) anaweza akampongeza JK kwa kumfokea Waziri wake hadharaniKATIKA HILO JK AMEKUWA VERY LINIENT KWA MAGUFULI KWANI PINDA ALIKAA NAYE MARA MBILI AKIMTAKA KUSITISHA BOMOA BOMOA HOLELA ALIYOIANZISHA NDIPO BADALA YAKE AKATUNGA WIMBO KUWA NIMEAPA KULINDA SHERIA.

Lakini kwa mtu makini JK kafanya kosa la karne na nafikiri utawala wake anazidi kuutia doa. Haiyumkiniki mradi mkubwa kama huu wa kutengeneza barabara za kupita mabasi yaendayo kwa kasi kuwa haukujadiliwa ktk vikao mwafaka na kwamba ili uanze inabidi kuondoa majengo na vitu vilivyoingia barabarani. Mradi kama huu unahitaji upembuzi yakinifu kutoka ngazi ya wizara moja mpaka Barza la mawaziri ambalo JK ndio mwenyekiti wakeTOKEA MWAKA 2008 MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI ULILIPA FIDIA WATU WOTE WANAOTAKIWA KUBOMOLEWA BILA YA KUJALI POROJO ZA KUWA KTK HIFADHI YA BARABARA. MAGUFULIA ALIPOKUJA AKATUMIA JINA LA MRADI HUO KUTAKA KUBOMAOA NYUMBA ZILIZOKO MITA 120 KUTOKA KATIKATI YA BARABARA, SIO ZILE ZILIZOKO IMMEDIATELY KWENYE ROAD RESERVE. NI KWA KUTAMBUA UKWELI HUO, KUWA ANAYOYAFANYA MAGUFULI HIVI SASA HAYAN UHUSIANO WOWOTE NA MARADI WA MABSI YA KWENDA KASI N.K NDIO MAANA WAKUBWA WAKE WAKAMKEMEA.
 
nyumba zitavunjwa tu siku moja na amini maneno yangu, kariakoo, kuna siku nayo itakwenda na maji hasa barabara ya uhuru ili kuruhusu barabara ya walau lane 4.

Usafiri si swala la mchezo na kitu pekee kinachoweza kusaidia ni kuhamisha mji mkuu dodoma na dar city kuhamishiwa maeneo kama kigamboni au mbali zaidi ambako kutakuwa ni rahisi mji kupanuka pande zote nne. Nusu ya mji wa dar ni bahari.....

Ufaransa ilivunja nyumba ili kupanua barabara. Nchi nyingine zilisaidiwa na majeshi ya hitler kwa kuvunja miji hiyo na walipokuwa wakipanga miji upya, walianza kwa kuweka barabara pana sanaa kama highway vile na hii imesaidia baadaye wapitishie trams na metro chini yake na au matrain ya juu kama ilivyo berlin.

hakuna nayepinga nyumba kuvunjwa, ila kwa kulipa fidia. Kama wezi wananweza kuchukua mabilioni ya kagoda, epa. Meremeta, rad n.k kwanini wananchi wabomolewe bila kulipwa fidia kwa kisingizio cha matumizi mabaya ya fdha za serikali?
 
Nilisikiliza jana maelezo ya JK kuhusu bomoabomoa nikweli hapa JK Umewagusa wengi kwani ubabe uliokuwa ukifanywa na Serikali juu ya Bomobomoa niwakutisha bila kujali wewe hicho kibanda umekipataje na imekuchukua mda gani mpaka ukakisimamisha na wakati mwingine Hiyo miundombinu imewakuta lakini kwakuwa imepewa jina la Barabara ya TanRoad basi wewe unakosa unapewa 48hrs uwe umeamisha kifusi chako!
Tumeona akina mama wakilia hadi kuvua nguo hadharani kwakuwalaani TanRoad!!Hapa JK umesema na wananchi katika Mioyo yako na wamekusikia ziara kama hizi ziwenatija ikibidi wengine wanaofanya Madudu waweke ndani wakati wakuoneana haya umeisha Wewe ni Rais wa JMT!
nami nimekusikiliza sana kwa makini utetezi wako nimeamini kuwa ni mpiga debe tu na kasuku huna logic yaani watu wanavunja sheria za nchi wapewe muda wa kubomoa hii ni sawa na wezi wa Epa waliopewa muda wa kurudisha nchi nii bwana mhulifu hupewa muda wa kurekebisha kosa
 
DK MAGUFULI wenzako wanatafuta mtaji wa kuanzia 2015 wewe unataka kuwavurugia utafukuzwa kibaruani uje street shauri yako. Na usitegemee kuonewa huruma na waTZ yaani ubomoe nyumba zao halafu wakuonee huruma? wakati wanajenga mna waona nyumba zimekamilika ndio mnatoa kabatini sheria zenu na kutaka zitumike angalia! Mawe ya kuonyesha eneo la ifadhi za barabara ndio yanawekwa miaka hiihii ya 2000 siku zote hayakuwepo. Wananchi wenyewe kusoma na kuandika ni tatizo kwao leo waweze kujua sheria za ifadhi ya barabara unacheza wewe,Wabongo wengi shule mgogoro sasa sheria waijuie wapi? ETI KUTO KUJUA SHERIA SIO UTETEZI, Kauli hiyo ina apply mahakamani sio kwenye siasa, umeamua kuingia kwenye siasa cheza ngoma ya kisiasa usichanganye na sheria.

Kumbuka CDM wanakupumulia Jimboni kwako, ukiteleza tu watu wamechukua jimbo, Unatekereza sera za CCM kwa vitendo wenzako wanakutosa sasa AKILI kichwani mwako wewe si DR. onyesha uDR wako sasa.jiuzulu au tii mamlaka iliyokuweka madarakani
 
JK anachukiwa na mtu kama wewe hasa nyinyi waifia dini. Lakini kiuhalisia bado jamaa yupo sawa tu na watangulizi wake na si ajabu amewazidi kidogo. weka imani yako na ubinafsi wako bembeni halafu umjaji. then you will know what I mean.


Hapa sijakuelewa, au kama nimekuelewa vizuri unamaanisha Mkwere ni Rais wa waislamu na bakwata ni tawi la CCM?
 
kwa mtu asiyejua dhana dhana ya uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility) anaweza akampongeza jk kwa kumfokea waziri wake hadharani. Lakini kwa mtu makini jk kafanya kosa la karne na nafikiri utawala wake anazidi kuutia doa. Haiyumkiniki mradi mkubwa kama huu wa kutengeneza barabara za kupita mabasi yaendayo kwa kasi kuwa haukujadiliwa ktk vikao mwafaka na kwamba ili uanze inabidi kuondoa majengo na vitu vilivyoingia barabarani. Mradi kama huu unahitaji upembuzi yakinifu kutoka ngazi ya wizara moja mpaka barza la mawaziri ambalo jk ndio mwenyekiti wake. Kama magufuri alikosea kwa kuamuru kuvunja nyumba njia mwafaka ilikuwa ni kumwita katika vikao rasmi na kumwambia asitishe au atafute njia nyingine.lakini kukurupuka kwa kumkjeli tena ktk jimbo lake la uchaguzi la kumshindilia msumari ktk wizara yake sio kitendo kizuri ktk medani ya uongozi. Jk na pinda naona wanatakiwa wapewe darasa la dhana uongozi na uwajibikaji ili waache kuishi kama watu wa kijiweni.kama wanafikiri kumshushua waziri hadharani ndio mtaji kisiasa wenye akili hawaoni hivyo ila wanaona ndio anguko la serikali isiyojifunza bali ya kisanii

nope! Jk na pinda wako sahihi!
 
Kuna kitu numa ya pazia hapa......jiulizeni nani mwenye mabango ya biashara pembezoni mwa hifadi ya barabara?na connection yake CCM.....Hili ndio kosa la Magufuli sio vinginevyo kama tunavyoelezwa
 
Kwa mtu asiyejua dhana dhana ya uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility) anaweza akampongeza JK kwa kumfokea Waziri wake hadharani. Lakini kwa mtu makini JK kafanya kosa la karne na nafikiri utawala wake anazidi kuutia doa. Haiyumkiniki mradi mkubwa kama huu wa kutengeneza barabara za kupita mabasi yaendayo kwa kasi kuwa haukujadiliwa ktk vikao mwafaka na kwamba ili uanze inabidi kuondoa majengo na vitu vilivyoingia barabarani. Mradi kama huu unahitaji upembuzi yakinifu kutoka ngazi ya wizara moja mpaka Barza la mawaziri ambalo JK ndio mwenyekiti wake. Kama Magufuri alikosea kwa kuamuru kuvunja nyumba njia mwafaka ilikuwa ni kumwita katika vikao rasmi na kumwambia asitishe au atafute njia nyingine.Lakini kukurupuka kwa kumkjeli tena ktk jimbo lake la uchaguzi la kumshindilia msumari ktk wizara yake sio kitendo kizuri ktk medani ya uongozi. JK na Pinda naona wanatakiwa wapewe darasa la dhana uongozi na uwajibikaji ili waache kuishi kama watu wa kijiweni.Kama wanafikiri kumshushua waziri hadharani ndio mtaji kisiasa wenye akili hawaoni hivyo ila wanaona ndio anguko la serikali isiyojifunza bali ya kisanii
JK analeta janja ya nyani, nia yao ni kumnyamazisha Magufuli ili iwe rahisi EL 2015
 
Nyumba zitavunjwa tu siku moja na amini maneno yangu, Kariakoo, kuna siku nayo itakwenda na maji hasa barabara ya UHURU ili kuruhusu barabara ya walau lane 4.

Usafiri si swala la mchezo na kitu pekee kinachoweza kusaidia ni kuhamisha mji mkuu Dodoma na Dar City kuhamishiwa maeneo kama Kigamboni au mbali zaidi ambako kutakuwa ni rahisi mji kupanuka pande zote nne. Nusu ya mji wa Dar ni Bahari.....

Ufaransa ilivunja nyumba ili kupanua barabara. Nchi nyingine zilisaidiwa na majeshi ya Hitler kwa kuvunja miji hiyo na walipokuwa wakipanga miji upya, walianza kwa kuweka barabara PANA sanaa kama Highway vile na hii imesaidia baadaye wapitishie Trams na Metro chini yake na au Matrain ya juu kama ilivyo Berlin.
Nadhani wengi hapa wataelewa zaidi ukiwawekea na picha pia..
 
Kwa mtu asiyejua dhana dhana ya uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility) anaweza akampongeza JK kwa kumfokea Waziri wake hadharani. Lakini kwa mtu makini JK kafanya kosa la karne na nafikiri utawala wake anazidi kuutia doa. Haiyumkiniki mradi mkubwa kama huu wa kutengeneza barabara za kupita mabasi yaendayo kwa kasi kuwa haukujadiliwa ktk vikao mwafaka na kwamba ili uanze inabidi kuondoa majengo na vitu vilivyoingia barabarani. Mradi kama huu unahitaji upembuzi yakinifu kutoka ngazi ya wizara moja mpaka Barza la mawaziri ambalo JK ndio mwenyekiti wake. Kama Magufuri alikosea kwa kuamuru kuvunja nyumba njia mwafaka ilikuwa ni kumwita katika vikao rasmi na kumwambia asitishe au atafute njia nyingine.Lakini kukurupuka kwa kumkjeli tena ktk jimbo lake la uchaguzi la kumshindilia msumari ktk wizara yake sio kitendo kizuri ktk medani ya uongozi. JK na Pinda naona wanatakiwa wapewe darasa la dhana uongozi na uwajibikaji ili waache kuishi kama watu wa kijiweni.Kama wanafikiri kumshushua waziri hadharani ndio mtaji kisiasa wenye akili hawaoni hivyo ila wanaona ndio anguko la serikali isiyojifunza bali ya kisanii
HILI LA KIKWETE, kijikakaKIIZA NA MAGUFULI NI WATU KUUGUA MARADHI HATARI YA UNAFIKI AMBAYO AHERI YAKE MTU UUGUE UKIMWI KIELEWEKE!!

Unasema hivyo kwani huyu Kiiza hapo juu humtambui vizuri na udalali wake ndio upoteze pumsi zako katika kumzuia yeye na wengine ndani ya mpango mzima kwa makusudi kutafuta KUMUAIBISHA MAGUFULI mbele ya jamii na kumdhihirishia kwamba hana lolote na kwamba jengo la mfalme Rostam Aziz (Dowans) pale Ubungo stendi ya daladala hawezi kuligusa wala nini????

Jamani utamu wa uraisi bila kuchaguliwa na wananchi anaujua mwenyewe Aziz. Huyu baba akikohoa tu juu ya jambo basi purukshari tangu Magogoni hadi Kwa Waziri wa Kamati ya Bunge Ulinzi naUsalama na Mambo ya nje kunakua hapatoshi!!! Na mapagasi kama huyu ndio kazi yao ni kujipeleka tu hata bila kuitwa kitu.

Miaka yote CCM imebomoa nyumba za mamilioni nchini tangu enzi za Naila Kiula huko barabara za Nyerere, Mandela, Sam Nujoma na nyinginezo nyingi zilizowahusu kweli walalaho wenzetu halafu leo hii tukitaka kubomoa Jengo la TANESCO ambayo mpaka hivi leo tunajiuliza Lowassa na Rostam wamejipenyeza vipi kulimiliki ndio kuonekane ni Jumba la Dhahabu 'MAGUFULI STOP'??????????

Vipi yule mwenye Msikiti kwenye hifadhi ya barabara palepale ubavuni mwake kiwanja cha biashara kulikojengwa kituo cha mafuta cha OilCom Ubungo njia panda??????????? Hawa ndio watu masiki wasiostahili kuvunjiwa rasilmali zao kwa sababu wakati wanajenga serikali ilikua ikiwatazama tu kama anavyoonekana kutetea hawa Kiiza na Kikwete sio???

Kwa mtaji wa unafiki huu basi Mhe Kikwete akamlipe upesi yule mwekezaji wa ndani ya nchi aliyebabuliwa maghorofa yake kule Masaki chini ya AMRI HALALI YA LOWASSA a,mbayo hivi sasa kwa Maghufuli PhDinaonekana haramu na ubabe!!!

Na wakishamalizana naye huyu mpiganaji Maghufuli basi anayefuatia kufanyiwa SHAMBULIO LA AIBU KISISASA ni yule kamanda Samuel Sita Shimita wa siasa ambaye akigusa nyuzi chache tu kwenye gitaa la siasa na basi ukumbi mzima wa taifa la Tanzania sharti inyanyuke na mpa CCM ije isilibe santuri yake moja tu na basi mpaka miezi 6 na ushee ipite.

Kazi kweli kweli!!
 
Kwa mtu asiyejua dhana dhana ya uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility) anaweza akampongeza JK kwa kumfokea Waziri wake hadharani. Lakini kwa mtu makini JK kafanya kosa la karne na nafikiri utawala wake anazidi kuutia doa. Haiyumkiniki mradi mkubwa kama huu wa kutengeneza barabara za kupita mabasi yaendayo kwa kasi kuwa haukujadiliwa ktk vikao mwafaka na kwamba ili uanze inabidi kuondoa majengo na vitu vilivyoingia barabarani. Mradi kama huu unahitaji upembuzi yakinifu kutoka ngazi ya wizara moja mpaka Barza la mawaziri ambalo JK ndio mwenyekiti wake. Kama Magufuri alikosea kwa kuamuru kuvunja nyumba njia mwafaka ilikuwa ni kumwita katika vikao rasmi na kumwambia asitishe au atafute njia nyingine.Lakini kukurupuka kwa kumkjeli tena ktk jimbo lake la uchaguzi la kumshindilia msumari ktk wizara yake sio kitendo kizuri ktk medani ya uongozi. JK na Pinda naona wanatakiwa wapewe darasa la dhana uongozi na uwajibikaji ili waache kuishi kama watu wa kijiweni.Kama wanafikiri kumshushua waziri hadharani ndio mtaji kisiasa wenye akili hawaoni hivyo ila wanaona ndio anguko la serikali isiyojifunza bali ya kisanii

Mkuu tupo pamoja hapa. Sioni kama kulikuwa na haja ya JK kumwambia mapungufu ya utendaji wake mbele ya hadhara na tena mbele ya watu anaowaongoza. Angemwita ikulu na kumuelekeza ni jinsi gani ashughulikie hilo suala lakini sio kumkandia hadharani. Ningekuwa mimi ndiye Magufuli, JK angeondoka na barua yangu ya kuachia ngazi.

Amedhalilishwa kiasi cha kutosha na wakubwa wake wa kazi, JK na Pinda.

Tiba
 
Si unaona sura ilivyomshuka? Huyu jamaa ni mgonjwa, yaani pamoja na Loliondo yuko vile,kabla ya kupata kikombe alikuwaje? Tumhurumie mkulu wetu, hata kushindwa kuchukua maamuzi magumu si hiari yake ni maradhi tu yamefika utosini.

hana lolote ni zengwe tu,walituzingua eti mradi wa DART ...hamna kitu hapa,inawezekanaje aagize ubomoaji usiwe wa haraka hata kwa miaka 3 na hali tuliahidiwa ujenzi utaanza haraka sana..sasa hapo bado tuna DART ama ndo ice inayeyuka?ishu ni kwamba DART ni mchezo wa siasa ili kupatia kura...tatizo Pombe alidhani ni ajenda ya maendeleo ..kumbe wenzake wanaiichukulia kisiasa zaidi.,unfortunately DART is no more..kama JK yuko real kwa public concerns kwanini asitimize madai ya walimu,wazee wa EAC,asiongelee Kagoda,Deep green n.k? ...isn't he hypocrat?
 
Si unaona sura ilivyomshuka? Huyu jamaa ni mgonjwa, yaani pamoja na Loliondo yuko vile,kabla ya kupata kikombe alikuwaje? Tumhurumie mkulu wetu, hata kushindwa kuchukua maamuzi magumu si hiari yake ni maradhi tu yamefika utosini.

hana lolote ni zengwe tu,walituzingua eti mradi wa DART ...hamna kitu hapa,inawezekanaje aagize ubomoaji usiwe wa haraka hata kwa miaka 3 na hali tuliahidiwa ujenzi utaanza haraka sana..sasa hapo bado tuna DART ama ndo ice inayeyuka?ishu ni kwamba DART ni mchezo wa siasa ili kupatia kura...tatizo Pombe alidhani ni ajenda ya maendeleo ..kumbe wenzake wanaiichukulia kisiasa zaidi.,unfortunately DART is no more..kama JK yuko real kwa public concerns kwanini asitimize madai ya walimu,wazee wa EAC,asiongelee Kagoda,Deep green n.k? ...isn't he hypocrat?
 
Back
Top Bottom