Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,051 653 May 1, 2011 #1 Jk anasema haijawahi kutokea kwanini aseme hivyo? ngoja tumsikie sasa je hatowatukana Wafanyakazi leo?
Jk anasema haijawahi kutokea kwanini aseme hivyo? ngoja tumsikie sasa je hatowatukana Wafanyakazi leo?
Kurunzi JF-Expert Member Jul 31, 2009 9,285 9,922 May 1, 2011 #2 Alishajua madhara ya kile alichokisema kilivyomgharimu, hotuba yake hahna jipya hata hivyo
Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,051 653 May 1, 2011 Thread starter #3 KURUNZI said: Alishajua madhara ya kile alichokisema kilivyomgharimu, hotuba yake hahna jipya hata hivyo Click to expand... Kweli sijaona kilichompeleka ni wazi usicheze na wanasiasa hata kidogo.
KURUNZI said: Alishajua madhara ya kile alichokisema kilivyomgharimu, hotuba yake hahna jipya hata hivyo Click to expand... Kweli sijaona kilichompeleka ni wazi usicheze na wanasiasa hata kidogo.