- Thread starter
- #21
mtoa mada haupo well informed kwa hii issue ya malawi na tanzania. nakushauri kuna sticky thread uitafute jaribu kuifuatilia kuna kitu unapata then edit alichosema jk. check na thread ya sitta,lowassa na membe, then today jk on utube. chnganya na zako apo utapata jinsi ya kuileta hii thread ya malawi n tz katika hali ya u great thinker.
Mkuu, read between lines. Nimejitahidi kukupunguzia mzigo wa kumsikiliza JK kwa mistari kadhaa. Sitaki kuamini kuwa hunielewi.