Wakuu,
JK kawataka wanasiasa kuacha kutoa kauli za kichochezi kwa kuwa tunaweza tusiwe na ubavu wa kuwapiga Malawi. Mpaka upo ukingoni mwa ziwa upande wa Tanzania. Majadiliano yanaendelea kutafuta wa kutusuluhisha kwa kuwa Malawi wamekataa MAOMBI ya Tz kuweka mpaka katikati ya ziwa kama sheria ya kimataifa inavyotaka.
My take: JK ameonyesha ushupavu na ukomavu kisiasa kwa kutotoa kauli za kuiprovoke Malawi lakini lengo kufanikisha mpaka uwe katikati ya ziwa kwa gharama YOYOTE tukianza na mazungumzo
Source: TBC
JK kawataka wanasiasa kuacha kutoa kauli za kichochezi kwa kuwa tunaweza tusiwe na ubavu wa kuwapiga Malawi. Mpaka upo ukingoni mwa ziwa upande wa Tanzania. Majadiliano yanaendelea kutafuta wa kutusuluhisha kwa kuwa Malawi wamekataa MAOMBI ya Tz kuweka mpaka katikati ya ziwa kama sheria ya kimataifa inavyotaka.
My take: JK ameonyesha ushupavu na ukomavu kisiasa kwa kutotoa kauli za kuiprovoke Malawi lakini lengo kufanikisha mpaka uwe katikati ya ziwa kwa gharama YOYOTE tukianza na mazungumzo
Source: TBC