Kwako JK, ujumbe huu tunaomba ufanyie kazi vinginevyo utazidi kutengeneza sumu ya chuki ndani ya wananch waishio Ruaha Kilombero. una taarifa kwamba vijana wako wa CCM wana tuhuma ya ufisadi wa sh. 64 milioni, wameiibia akaunti ya kijiji cha Ruaha Kilombero. Kuna kijana mmoja anaeitwa Dube yeye nimfanya biashara wa mitumba na yeye ndiye aliye sababsha machafuko kipindi cha nyuma kwa kuficha masanduku ya kupigia kura!