Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Kweli huu ni mwaka wa uchaguzi mkubwa humuamkia mdogo "shikamooo kijana" au ndio mkulu unajihami kwa wananchi ili wakupe kura oktoba maana wafanyakazi ni wazi kuwa kura zetu umezikosa kabisaaaa.shida ya maji dar ni kongwe ila miaka mitano ya uongozi wako hujaona mpaka juzi.sawa tutaonana oktoba.