JK rais mwenye Bahati Duniani

segwanga

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
2,789
729
JK ni miongoni mwa marais wachache wanaotawala bila ya kuwa na presha toka kwa watawaliwa pamoja na hali ngumu wanayo kuwa nayo watawaliwa.Jk amekuwa na bahati zifuatazo:-

1.Amewadanganya watz kwa ahadi kemkem na bado watu wako kimya tu

2.yanatokea majanga ya kizembe kama mabomu gongo la mboto,Jk bado yupo tu magogoni bila presha

3.Rushwa Imetamalaki,Jk yukp salama

4.Mtoto wake anaimiliki tz kwa kofia ya Jk,yeye no digid

5.Madaktari wanagoma,hewala bwana acha wagome

6.Umeme usioaminika jK ana majibu mepesi,yeye sio wingu la mvua

7.... endelea na wewe

Ni bahati iliyoje kuongoza Tanzania,

NATAMANI KUWA jk
 
Anabahati ya kuzungu dunia nzima kwa kodi za Wt, zaidi ya Pasco Dagama aliyegundua bara la Amerika. Takriban kwa muda wa miaka 6 ambayo amekuwa Ikulu amekuwa likozo kwa muda wa zaidi ya miaka mi3 na bado ni rais wa wadanganyika na anaendelea kujilipa mshahara mkubwa zaodi ya ule anayelibwa Barak Obama na Hiugin Tawa wa China.
 
Anabahati ya kuzungu dunia nzima kwa kodi za Wt, zaidi ya Pasco Dagama aliyegundua bara la Amerika. Takriban kwa muda wa miaka 6 ambayo amekuwa Ikulu amekuwa likozo kwa muda wa zaidi ya miaka mi3 na bado ni rais wa wadanganyika na anaendelea kujilipa mshahara mkubwa zaodi ya ule anayelibwa Barak Obama na Hiugin Tawa wa China.

Hizi shule za sikuhizi bure kabisa, hawafundishi historia nini? Hivi Pasco Dagama ndio nani, na nani alivumbua Amerika? Inaelekea vijana hawajawahi kusikia jina la Christopher Columbus!!
 
Anabahati ya kuzungu dunia nzima kwa kodi za Wt, zaidi ya Pasco Dagama aliyegundua bara la Amerika. Takriban kwa muda wa miaka 6 ambayo amekuwa Ikulu amekuwa likozo kwa muda wa zaidi ya miaka mi3 na bado ni rais wa wadanganyika na anaendelea kujilipa mshahara mkubwa zaodi ya ule anayelibwa Barak Obama na Hiugin Tawa wa China.

mkuu kasome CDC {computer drive certificate} hutapata taabu kutype otherwise ujumbe wako umemfikia apende asipende
 
Wewe acha utani wako,WaTZ tuko katika hali ngumu sana ya maisha.
JK ni miongoni mwa marais wachache wanaotawala bila ya kuwa na presha toka kwa watawaliwa pamoja na hali ngumu wanayo kuwa nayo watawaliwa.Jk amekuwa na bahati zifuatazo:-

1.Amewadanganya watz kwa ahadi kemkem na bado watu wako kimya tu
2.yanatokea majanga ya kizembe kama mabomu gongo la mboto,Jk bado yupo tu magogoni bila presha
3.Rushwa Imetamalaki,Jk yukp salama
4.Mtoto wake anaimiliki tz kwa kofia ya Jk,yeye no digid
5.Madaktari wanagoma,hewala bwana acha wagome
6.Umeme usioaminika jK ana majibu mepesi,yeye sio wingu la mvua
7.... endelea na wewe
Ni bahati iliyoje kuongoza tz,NATAMANI KUWA jk
 
Hizi shule za sikuhizi bure kabisa, hawafundishi historia nini? Hivi Pasco Dagama ndio nani, na nani alivumbua Amerika? Inaelekea vijana hawajawahi kusikia jina la Christopher Columbus!!

Correction,
Ni Vasco Dagama na si Pasco Dagama.
 
Anabahati ya kuzungu dunia nzima kwa kodi za Wt, zaidi ya Pasco Dagama aliyegundua bara la Amerika. Takriban kwa muda wa miaka 6 ambayo amekuwa Ikulu amekuwa likozo kwa muda wa zaidi ya miaka mi3 na bado ni rais wa wadanganyika na anaendelea kujilipa mshahara mkubwa zaodi ya ule anayelibwa Barak Obama na Hiugin Tawa wa China.

Aiseeeee! mkuu umetoka wapi? kwa nini usiingie darasani kwanza ndiyo uje humu?
 
Aiseeeee! mkuu umetoka wapi? kwa nini usiingie darasani kwanza ndiyo uje humu?

Wakuu hapo ni kwamba nimeteleza tu kwa sababu ya stress ya mgomo wa madaktari. Nina mgonjwa hospitali ninahofia hawa jamaa wakigoma si mgonjwa atakufa. You just take easy!
 
JK ni miongoni mwa marais wachache wanaotawala bila ya kuwa na presha toka kwa watawaliwa pamoja na hali ngumu wanayo kuwa nayo watawaliwa.Jk amekuwa na bahati zifuatazo:-

1.Amewadanganya watz kwa ahadi kemkem na bado watu wako kimya tu
2.yanatokea majanga ya kizembe kama mabomu gongo la mboto,Jk bado yupo tu magogoni bila presha
3.Rushwa Imetamalaki,Jk yukp salama
4.Mtoto wake anaimiliki tz kwa kofia ya Jk,yeye no digid
5.Madaktari wanagoma,hewala bwana acha wagome
6.Umeme usioaminika jK ana majibu mepesi,yeye sio wingu la mvua
7.... endelea na wewe
Ni bahati iliyoje kuongoza tz,NATAMANI KUWA jk
Soma signature yangu. Hata tungeweka mbwa pale magogoni aongoze nchi, ingekwenda tu. Ilimradi huyo mbwa aweze kubweka. Jeshi linawalipua watu na mabomu (Mbagala, gmboto), polisi wanaua watu kama ile ya Songea, Tarime halafu wananchi wamenyamaza tu? Sijaona pengine popote duniani? Ndo maana nasema hata angekaa nyau pale magogoni nchi ingeenda bila shida. Haiwezekani wabunge wanamwagiza rais afanye hili au lile (mfano kumfukuza Hosea, kumfukuza Ngeleja na malima), rais hatekelezi halafu wabunge wanarudi bungeni wanacheka tu hawaoni kama rais amewadharau. Wanamwacha tu, wakati wao ndo wawakilishi wa wananchi? Nasema hata panya angekaa pale magogoni bado angeweza tu kuwaongoza watanzania.
 
Hizi shule za sikuhizi bure kabisa, hawafundishi historia nini? Hivi Pasco Dagama ndio nani, na nani alivumbua Amerika? Inaelekea vijana hawajawahi kusikia jina la Christopher Columbus!!
yote kwa yote hata wewe umekosea umesema amerika ipi mojawapo kusini au kasazini. huyo columbusi aligundua kitu kidogo tu. visiwa vya Tonga na tuvalu tu(caribean Island tu) by the way mchangiaji anajaribu kueleza hasara za baba mwanaasha tu. awe dagama au columbusi wote ni wazururaji tu
 
10. Amewapa uongozi mademu zake serikalini bila hata sifa kuongoza.
11. Amemfunga Babu Seya na Mwanae bila hatia..
12. Alihizinisha ununuzi wa jengo la ubalozi wa TZ nchini Italy.
 
JK ni miongoni mwa marais wachache wanaotawala bila ya kuwa na presha toka kwa watawaliwa pamoja na hali ngumu wanayo kuwa nayo watawaliwa.Jk amekuwa na bahati zifuatazo:-

1.Amewadanganya watz kwa ahadi kemkem na bado watu wako kimya tu
2.yanatokea majanga ya kizembe kama mabomu gongo la mboto,Jk bado yupo tu magogoni bila presha
3.Rushwa Imetamalaki,Jk yukp salama
4.Mtoto wake anaimiliki tz kwa kofia ya Jk,yeye no digid
5.Madaktari wanagoma,hewala bwana acha wagome
6.Umeme usioaminika jK ana majibu mepesi,yeye sio wingu la mvua
7.... endelea na wewe
Ni bahati iliyoje kuongoza tz,NATAMANI KUWA jk
Ndiyo kama si bahati au kwa nchi makini alitakiwa ajiuzulu kwa hiyari au shinikizo:
Angalia:
8: Kudorora kwa Elimu: Shule za kata bila waalimu, maabara nk.
9. Kuruhusu wezi wa wanyama pori kuja kuiba wanyama: ile ya ndege ya jeshi kutoka Doha ilikuwa uharamia wa kiserikali tu!
10. Kuruhusu na kuitumia migongano ya kidini kwa maslahi ya kisiasa (uislamu/Ukristo)
11. Kuruhusu kikundi cha wanamtandao kuendelea kuvuruga nchi bila shida
12. Kukuza tabaka la wenyenazo na kudidimiza wasio nazo.
13. Kukiri kuwa "hajui kwa nini Nchi anayoongoza ni maskini"
Alitakiwa amejiuzulu zamaaani!!!
 
ndiyo kama si bahati au kwa nchi makini alitakiwa ajiuzulu kwa hiyari au shinikizo:
Angalia:
8: Kudorora kwa elimu: Shule za kata bila waalimu, maabara nk.
9. Kuruhusu wezi wa wanyama pori kuja kuiba wanyama: Ile ya ndege ya jeshi kutoka doha ilikuwa uharamia wa kiserikali tu!
10. Kuruhusu na kuitumia migongano ya kidini kwa maslahi ya kisiasa (uislamu/ukristo)
11. Kuruhusu kikundi cha wanamtandao kuendelea kuvuruga nchi bila shida
12. Kukuza tabaka la wenyenazo na kudidimiza wasio nazo.
13. Kukiri kuwa "hajui kwa nini nchi anayoongoza ni maskini"
alitakiwa amejiuzulu zamaaani!!!

msisahau kuwa huyu ni kinara mkubwa wa mambo ya dini, kabla hajamteua mtu kwenye nafasi yoyote kwanza anaanza kuangalia dini yake pasipo kutafakari utendaji wa huyo mtu na uwezo wake,' baba mwana' bwana!
 
Ni lini Watanzania tutathubutu kusema tumeifanyia nini nchi yetu kabla ya kunyosha kidola kwa JK peke yake. Watanzania ndio maana hatuendelei zipo nchi zimeanguka kwa sababu ya kuwa na Rais mzuri lakini wananchi wa hovyo.

Rais na wananchi ni partners katika kuleta maendeleo ya nchi lakini mara nyingi sisi wananchi tunajitoa bila kuweka wazi nafasi yetu katika maendeleo hayo.
 
Hizi shule za sikuhizi bure kabisa, hawafundishi historia nini? Hivi Pasco Dagama ndio nani, na nani alivumbua Amerika? Inaelekea vijana hawajawahi kusikia jina la Christopher Columbus!!

Mkuu ni Amerigo Vespucci (Italian pronunciation: [ameˈriɡo vesˈputtʃi]) (March 9, 1454 – February 22, 1512) was an Italian explorer, financier, navigator and cartographer. The Americas are generally believed to have derived their name from the feminized Latin version of his first name.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom