segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
JK ni miongoni mwa marais wachache wanaotawala bila ya kuwa na presha toka kwa watawaliwa pamoja na hali ngumu wanayo kuwa nayo watawaliwa.Jk amekuwa na bahati zifuatazo:-
1.Amewadanganya watz kwa ahadi kemkem na bado watu wako kimya tu
2.yanatokea majanga ya kizembe kama mabomu gongo la mboto,Jk bado yupo tu magogoni bila presha
3.Rushwa Imetamalaki,Jk yukp salama
4.Mtoto wake anaimiliki tz kwa kofia ya Jk,yeye no digid
5.Madaktari wanagoma,hewala bwana acha wagome
6.Umeme usioaminika jK ana majibu mepesi,yeye sio wingu la mvua
7.... endelea na wewe
Ni bahati iliyoje kuongoza Tanzania,
NATAMANI KUWA jk
1.Amewadanganya watz kwa ahadi kemkem na bado watu wako kimya tu
2.yanatokea majanga ya kizembe kama mabomu gongo la mboto,Jk bado yupo tu magogoni bila presha
3.Rushwa Imetamalaki,Jk yukp salama
4.Mtoto wake anaimiliki tz kwa kofia ya Jk,yeye no digid
5.Madaktari wanagoma,hewala bwana acha wagome
6.Umeme usioaminika jK ana majibu mepesi,yeye sio wingu la mvua
7.... endelea na wewe
Ni bahati iliyoje kuongoza Tanzania,
NATAMANI KUWA jk