Jana nikuwa kwenya daladala kukawa na majadala baina ya abiria. Wenga wa wawachangiaji walikuwa wanasema ukitaka nchi hii itoke hapa ilipo na ipige maendeleo ya haraka ni lazima CCM ife na iondoke madarakani. Wakawa wanesema CCM ndio chanzo cha matatizo yote haya na jinsi kilivyojichanganya na wanyonyaji wa nchi hii hakiwezi tena kuiondoa nchi hapa ilipo kunahitajika chama kingine. Wakaendea kusema ili CCM ife ni lazima atokee mtu ndani ya CCM mwenye uzalendo na kuielewa CCM kiundani aweke na kuandaa mkakati wa kuiwa CCM. Mazungumzo yale yaliendelea kusema kuwa mtu huyo atapata heshima kubwa sana huko tuendakako. Mazungumzo yale yamenifanya nikaingiwa na ushawishi kuwa huenda JK ndio mtu huyo. Wanajamii mnasemaje?