Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
kwa jinsi anavyopiga mwereka sidhani kama ana nia ya kuupanda mlima. Wasi wasi wangu ni kwamba labda anataka kuupiga bei mlima wetu!
Unaweza kukuta ana dogo dogo mpya Moshi ameifuaa halafu hilo ni changa la macho tu.
Nasikia tarehe 07.03 atakuwa Loliondo kuzindua umeme wa kutumia majeneta. Sijui kama ataenda kwa babu kumsalimu au kurenew charge kwa kupiga kikombe tena.