Hiyo ni miongoni mwa silaha za mwisho anazojaribu kutumia.
Salva amewapanga vijana wake kuhakikisha kuwa picha kama hizi ndo zinapewa kipaumbele kwenye media hasa magazeti kila siku.
Sijawahi kuona hata siku moja baada ya kuapishwa huyu rais wangu kuwa mnyenyekevu hivi.
Hii ni janja ya kutafuta kura ZA HURUMA
Ila hata watoto wanaoonekana huko nyuma wamepigwa na butwaa na wao HAWADANGANYIKI... wanajiuliza.. he? Huyu ndo kawa mnyenyekevu hivi leo? :smile-big: Hebu wataalam zoom in kwa watoto hapo mpate kuona vizuri...Hiyo ni miongoni mwa silaha za mwisho anazojaribu kutumia.
Salva amewapanga vijana wake kuhakikisha kuwa picha kama hizi ndo zinapewa kipaumbele kwenye media hasa magazeti kila siku.
Sijawahi kuona hata siku moja baada ya kuapishwa huyu rais wangu kuwa mnyenyekevu hivi.
Hii ni janja ya kutafuta kura ZA HURUMA
Si kuwalipa tu bali hata kuwapiga. BTW sisi huku vijijini wagombea wanatusalimu watoto wadogo "SHIKAMOO" hii ni kali. We usidhani JK anafanya tofauti na wenzake wa chama cha wezi. Hata hivyo safari hii, hatudanganyiki.anawajali wazee lakini kashindwa kuwalipa wazee wa wafrika mashariki
Sure! "Customer Care" ya JK wakati wa Uchaguzi ni 300%