JK na watu wake ..mmeshindwa kutumia hata projector?

JK na watu wake ..mmeshindwa kutumia hata projector?

In the circles of power, everybody becomes exhilarated.....
 
Wote wanaonesha kushikwa masikio! Halafu kuna mmoja amejiidentify jinsi anavyoongoza kwa ujinga
 
Wezi wa mali ya umma utawagundua tu wanavyojifanya wazalendo kiasi cha kuvaa mavazi rasmi. Sijui hata kanisani/msikitini huwa anavaa hiyo skafu!?
 
ebu kwa watu wenye ufumbuzi wa picha mnaweza kuniambia mwigulu style aliyokaa, tabasamu alilotoa, na kichwa alivyokiweka mnaweza kuongea chochote juu ya hilo?? nimetafakari sana nimeogopa ban la sivyo ningetiririka vya kutosha, ha ha ha ha
 
Singida kwetu lakini!!..hata projector jamani?
 
na huyo mhindi anafanya nini ikulu kwetu akitoka hapihalipi kodi na pengine ni laptop yake.
 
na huyo mhindi anafanya nini ikulu kwetu akitoka hapihalipi kodi na pengine ni laptop yake.

sidhani kama hapo ni ikulu, huyo atakua dewji mbunge wa singida, namuona msindai. nahisi itakua singida hapo.
 
Kama anasema" hebu cheki hizi picha za mademu wa Ug cjui niende lini. Lakini hawa maboya wa jf wananifatiliajeeee."
Salma nae " wewe nawe khaaaaaaaaaaaaaaa"(cjui kama hapo yupo,manake sikijui hata kivuli chake. Na sina muda huo).
 
local ways
0L7C0234.jpg
Sio projector hata basi wangerumia LCD ya inchi 21 wangeunganisha kwa waya wa HDMI hadi kwenye tundu la HDMI kwenye TV,badala ya wote kuundikana kwenye hiyo Acer
 
Back
Top Bottom