Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho Rais JK anategemea kwenda kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru, Je JK amekwenda kwaajili ya Rais Mseven wa Uganda? Ni wazi kuwa amekuwa akikwepa sana kukutana na Wasomi wa Chuo Kikuu cha Dar.
Je atapokelewaje na wasomi hao ?
Neno wasomi wa Chuo Kikuu maana yake nini ? Usomi wao uko wapi ? Wamesoma wengi hapo akiwamo yeye Tanzania iko wapi ? Mbona mnao waita wasomi huwa wanashindwa hata kuuliza maswali au kujieleza ? Hebu tutafute jina la kuwaita lakini kusema wasomo ni BS .
nadhani ZOMEA ZOMEA itatawala ka mwaka jana na MUSEVEN kua kinara ndivo ilivokua
Tanzania haina wasomi, bali ina waliohudhuria shule.
Haya maswala ya kuendekeza siasa yanazidi kushusha hadhi ya udsm. Kila kitu udsm ina maana Tanzania hakuna vyuo vingine ambavyo wana mawazo constructive? Inakera sana.
Tanzania haina wasomi, bali ina waliohudhuria shule.
Haya maswala ya kuendekeza siasa yanazidi kushusha hadhi ya udsm. Kila kitu udsm ina maana Tanzania hakuna vyuo vingine ambavyo wana mawazo constructive? Inakera sana.
wanachuo wawe makini,hawa jamaa wasije wakajaa vijana wao wa kazi kwenye hall kabla ya wanachuo.