2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,616
kama ulisoma chuo cha kata baba safari njema uwezo mdogoTanzania haina wasomi, bali ina waliohudhuria shule.
Haya maswala ya kuendekeza siasa yanazidi kushusha hadhi ya udsm. Kila kitu udsm ina maana Tanzania hakuna vyuo vingine ambavyo wana mawazo constructive? Inakera sana.