WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
jamani kwa kipindi kisichozidi mwezi mmoja jk katembelea mkoa wa kilimani mara mbili, nahisi ni mkakati wa ccm kuhakikisha majimbo yote ya ubunge kilimani yanaporwa hasa la Ndesapesa na baada kusikia tena Mbowe anaenda kuchukua jimbo lake la Hai ccm wamedata kabsaa, CHADEMA inabidi ijipange sawasawa naamini jimbo la moshi mjini na hai watayahodhi