JK na Mangula/Mpasuko Mkubwa CCM NEC

JK na Mangula/Mpasuko Mkubwa CCM NEC

Mwacheni Mzee Lowasa apumzike. Jamaa anaumwa na hana mpango tena wa kugombea urais.
 
Nape nadhani atahamia CDM punde lowassa akitawazwa kuanza kampeni!!

Atarudi CCJ lakini sio CDM aliyoifananisha na mgonjwa wa kifafa na viongozi wake kuwa wanatabia ya nguruwe. Jamaa hajielewi na haoni kuwa mdomo wake unazidi kumpeleka kwenye tanuru la moto,
 
Upo msemo wa wahenga uanao sema " Jeshi lililogawanyika haliwezi kumshinda adui"
TAFAKARI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

pia maandiko matakatifu ktk msahafu wa biblia yanasema ''utawala wowote ulio gawanyika au fitinika hauwezi kudumu utaanguka tu ( anguko kuu-emphasis is mine)
 
Kwa kweli kama hali ndio hii basi sisi eem wameshikwa pabaya na chaaa de ma..ha..haa.. sasa hapa hari si shwari kabisa..

sasa bro naaape anajaribu kuficha nini haswa wakati inaonyesha kabisa Mwenye ... kiti ameamua na kiti ndio chake... na mh.. kwa kweli kukuacha kwenye mataa ndio desturi yake haswaa.. ifike mda sasa viongozi watumie akili zao walizopewa na Maulana.. waache kutumika cz of masilahi yao binafsi..
 
Lowasa ni kama kauli hii Chenga twawala ila Magoli Nill. Mfungaji hapo 2015 ni CHADEMA.
 
Nape, mwigulu, ....... Soon are used condoms
 
Nilipata kusema hapa huko nyuma kwamba hizi habari za kuwepo bifu kati ya kikwete na lowasa ni sinema tu ya kitoto,kwani usalama wa kikwete akiondoka madarakani upo kwa lowasa kukaa madarakani,na si vinginevyo.Kwa jk alivyolikoroga kisiasa si vizuri kwa lowasa kama wangeonekana wapo pamoja kwani ule uvundo wa mkorogo wa jk ni lazima ungenuka kwa lowasa,kwa hiyo ungekuwa msala kwa ed,lakini sasa ni vigumu sana kumhusisha na failure za jk.Kalghabao wabongo washalinywa.EEh Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema tuepushe na hila hizi za magamba,waache wanaswe wenyewe kwenye hila zao.Amina.
 
Mgawanyiko bado, mgawanyiko utaonekana dhahiri kwenye bunge la bajeti la mwaka 2015. Mambo bado, na kutakuwa na kambi tatu tu. Na nawakumbusha tu kuwa hela zitamwagwa sana mwaka 2015, mfumuko wa bei utaongezeka, na wachache wataneemeka, lakini kumbukeni wahenga walisema, wapambanapo mafahali wawili, ziumiazo ni nyika

CDM (The badger) haoni hata haja ya kujali nani anachaguliwa ktk hii kambi dhaifu na tamu kutafuna.Kwani siku anataka lunch hahitaji kujua kama ni black mamba, green mamba, cobra, au nani, yeye atavuta kunzi apopote kama anayevuta spagheti vile..Si Lowassa huyu huyu alikwend ameru kwa mbwembwe kuwa yeye ni wa vitendo.Baada ya kuwagaragaza CCM ktk uteuzi wa Sioyi. Alichoambulia ni kuingia kimaficho ktk chumba cha kuhesabu kura ili akabadili matokeo, magari yalipasuliwa na mwisho sioi akakubali matokeo.SIjui kama hiyo habari hata kama iliwahi somwa tena.CCM hata revision hawataki sikia.
 
Nape nadhani atahamia CDM punde lowassa akitawazwa kuanza kampeni!!

CDM walisema hana number, na kw aujinga kanyea kambi.Kama bado ni mamluki wa CDM basi atakuwa proof nzuri kuwa CCM ni very Vulnerable.Kama hadi Speaker wa Bunge 6 alikuwa na kadi ya CCM ,ni mbunge na speaker wa CCM, ni candidate wa urais wa CCM yet alitumikishwa na CDM .Siwezi ishangaa CCM ,kama jimama lenye kila aina ya hela jeuri, nguvu mbele ya wanaume.Halafu linachapwa makofi na kimwana mdogo kadiri apendavyo, huku linabaki lia kuwa haliachiki ng`o.
 
Mimi si mwana ccm, nionavyo ni kuwa angalau MEMBE anaheshima kidogo mbele ya jamii ya watanzania ukilinganisha na LOWASA miongoni mwa wana ccm wanaotajwa tajwa kuwa na nia ya kutaka kupanga magogoni. Mshambulizi dhidi ya lowaza ikiwa ataomba na kupewa ridhaa na wanachama wa ccm kuiwakilisha ccm kwenye mbio za kwenda mtaa wa luthuli aka magogoni yatakuwa mazito na ya silaha za maangamizi yatakayosababisha chama kupoteana na wanachama wake.
Lowasa atashindwa kwa aibu kubwa afadhali atakavyoshindwa membe.
chezea watanzania weye!

LUGHA HII WATAIELEWA WENYE MASIKIO
Waache washughlikiane, labada watafika 2015 choka mbaya.
 
Lowasa ni kama kauli hii Chenga twawala ila Magoli Nill. Mfungaji hapo 2015 ni CHADEMA.

Kasikia ushauri wangu..kama anataka heshima aipe CCM chini.Ila sitegemee urais utampa heshima wala km ataweza upata kwa kauli nyepesi za JK mbele ya CDM.Sasa hivi si mbowe wala Slaa anayeweza ipiga chenga CDM na akasalimika ktk siasa za Nchi.Na ushindi 2015.

The only zawadi Lowasa anaweza wapa watanzania ni Kuitoa CCM.Urais alishampa JK na hauwezi tena rudi.NI kama yule mwana aliyeuza urithi wake kwa nyama.Yeye aliuza kwa ahadi huku akijua JK hakuwa na uwezo huo, ni vipi sasa atamwokoa mwokozi wake shimoni?

EL. hawezi ingia shimoni baada y akumvuta mtoto halafu ategemee na mtoto naye ataweza mvuta.Pia asitegemee sana hata kumsaidia mtoto kwani huko shimoni an lilited power na itategemea na uwezo wa mtoto kuelewa maelekezo na kuyafanyia kazi kwa nyenzo zilziopo hapo juu ktk sura ya dunia.Jk hawezi tena hilo.
 
Waache Wadundane weee ! Mwisho wa siku sisi tunajiokotea Mizoga kiulaiiiini !
 
Mchezo JK anaoucheza hapa ni kutaka Lowassa ABWETEKE na kuachana na plan B. Sio mwepesi kama tunavyodhania mpaka kwamba "better the devil you know"
 
Back
Top Bottom