Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
CDM walisema hana number, na kw aujinga kanyea kambi.Kama bado ni mamluki wa CDM basi atakuwa proof nzuri kuwa CCM ni very Vulnerable.Kama hadi Speaker wa Bunge 6 alikuwa na kadi ya CCM ,ni mbunge na speaker wa CCM, ni candidate wa urais wa CCM yet alitumikishwa na CDM .Siwezi ishangaa CCM ,kama jimama lenye kila aina ya hela jeuri, nguvu mbele ya wanaume.Halafu linachapwa makofi na kimwana mdogo kadiri apendavyo, huku linabaki lia kuwa haliachiki ng`o.Nape nadhani atahamia CDM punde lowassa akitawazwa kuanza kampeni!!