JK na Mangula/Mpasuko Mkubwa CCM NEC

JK na Mangula/Mpasuko Mkubwa CCM NEC

Kiluilui

Senior Member
Joined
Mar 22, 2012
Posts
153
Reaction score
21
Kwa mujibu wa kada wa CCM ambaye ni mjumbe wa NEC ambaye amavujisha siri hii, inasemekana kuwa Mh Mangula alipotoa kauli ya kukataza wanaccm kujinadi kabla ya kipindi cha uchaguzi alisababisha Mh.Lowasa na wengine wengi wenye uchu na madaraka 2015 kuchukizwa na kauli hiyo na kuamua kufanya kila namna kahakikisha Mangula anadhibitiwa vema ama anafanyiwa kila namna hadi ajiunge na kambi ya Lowassa ili apunguze msuli dhidi ya harakati za mbunge huyu wa monduli.

Kwa mujibu wa kikao cha JK na wabunge kilichofanyika dodoma hivi majuzi, JK amedhihirisha kwenda kinyume na msimamo wa Mangula kwa kutoa amri kuwa wanaccm wanaotaka kuwania nafasi za urais na ubunge kupitia ccm ni ruksa kuanza kujipitisha kwa wapiga kura.
Kauli hii tata ya Mwenyekiti wa ccm mrisho jakaya kikwete imeshangaza wengi hasa baada ya kudhihirisha kuwa ni kauli inayopingana na maazimio ya awali yaliyopitishwa na kikao cha Nec yaliyotangazwa na Mangula ambaye ni m-nec wa ccm.

Viunga vya ccm vya ndani kabisa vinapasha kuwa baada ya JK kuonyesha wazi kuwa anasupport harakati za kujinadi zinazofanywa na Lowasa pamoja na wanasiasa wengi wa ccm kumesababisha mpasuko wa hatari ndani ya ccm ambapo mwisho wa siku tutajionea jinsi Mh. Mangula pia anajisalimisha kwa Lowassa mithili ya mbwa koko aliyekutana na chatu na wengine watasambaratika kila mmoja kivake bila kujitambua.

Huu unaitwa ni mpasuko ndani ya ccm kwasababu makada maarufu wameshaanza kutupiana maneno makali hasa baada ya wengine kugundua kuwa wanatumiwa vibaya na JK mithili ya mbuzi wa kafara.
Nape Nnauye ni Kada mashuhuri wa ccm ambaye ameonekana dhahiri kutetereka na mwenye hofu kubwa hasa baada ya kumuona JK akimsifia Lowasa hadharani na akimpa ruhusa ya kujinadi kwa wapiga kura kwa ajili ya urais 2015.

Wachambuzi wa maswala ya siasa wanakiri kuwa JK ameanza kudhihirisha kuwa anamsanifu Membe na na nia yake kuu ni kumrithisha Lowasa kiti cha kugombea urais 2015 kupitia CCM.

Makambi yote ya ccm yaliyokua yakiwania nafasi ya uwakilishi wa rais yameanza kuyumba gafla baada ya kutatanishwa na msimamo wa nwenyekiti wa CCM Mh.Mrisho Jakaya Kikwete juu ya nafasi ya urais 2015,

' wengi walidhani kuwa JK amemsaliti Lowasa na kuunga mkono kambi ya Membe kumbe la hasha bado JK anamuandalia makao Lowassa'. Hayo ni maneno ya kiongozi wa Nec aliyekuwa akichekelea mtafaruku huu mkubwa unaodhihirisha kuwa JK kama mwenyekiti wa ccm amepanic kutokana na speed ya CHADEMA hadi amejikuta akitoa maagizo yanayopishana wazi kabisa na maazimio ya NEC ya ccm yaliwekwa hadharani hapo awali na Mangula.

My take.
Wale makada waccm wanautumika kama big.G huu ndo muda wao maalum wa kutemwa rasmi na JK pamoja na viongozi wengine wa ccm wenye uchu wa madaraka.

Sakata hili pia linadhihirisha kuwa JK amewaingiza mkenge puppets wengi sana wa ccm.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kwa mujibu wa kada wa ambaye ni mjumbe wa NEC ambaye amavujisha siri hii, inasemekana Mh Mangula alipotoa kauli ya kukataza wanaccm kujinadi kabla ya kipindi cha uchaguzi alisababisha Mh.Lowasa na wengine wengi wenye uchu na madaraka 2015 kuchukizwa na kauli hiyo na kuamua kufanya kila namna kahakikisha Mangula anadhibitiwa vema.

Kwa mujibu wa kikao cha JK na wabunge kilichofanyika dodoma hivi majuzi, JK amedhihirisha kwenda kinyume na msimamo wa Mangula kwa kutoa amri kuwa wanaccm wanaotaka kuwania nafasi za urais na ubunge kupitia ccm ni ruksa kuanza kujipitisha kwa wapiga kura.
Kauli hii tata ya Mwenyekiti wa ccm mrisho jakaya kikwete imeshangaza wengi hasa baada ya kudhihirisha kuwa ni kauli inayopingana na maazimio ya awali yaliyopitishwa na kikao cha Nec na kutangazwa na Mangula ambaye ni kiongozi mkubwa wa ccm.

Viunga vya ccm vya ndani kabisa vinapasha kuwa baada ya JK kuonyesha wazi kuwa anasupport harakati za kujinadi zinazofanywa Lowasa na wengine wengi, amesababisha mpasuko wa hatari ndani ya ccm ambapo mwisho wa siku tutajionea jinsi Mh. Mangula pia anajisalimisha kwa Lowassa mithili ya mbwa koko aliyekutana na chatu.

Huu unaitwa ni mpasuko ndani ua ccm kwasababu makada maarufu wameshaanza kutupiana maneno makali hasa baada ya wengine kugundua kuwa wanatumiwa na JK kama mbuzi wa kafara.
Nape Nnauye ni Kada mashuhuri wa ambaye ameonekana dhahiri kutetereka na mwenye hofu kubwa hasa baada ya kumuona JK akimsifia Lowasa hadharani na akimpa ruhusa ya kujinadi kwa wapiga kura kwa ajili ya urais 2015.

Wachambuzi wa maswala ya siasa wanakiri kuwa JK ameanza kudhihirisha kuwa anamsanifu Membe na na nia yake kuu ni kumrithisha Lowasa kiti cha kugombea urais 2015 kupitia CCM.

Makambi yote ya ccm yaliyokua yakiwania nafasi ya uwakilishi wa rais yameanza kuyumba gafla baada ya kutatanishwa na msimamo wa nwenyekiti wa CCM Mh.Mrisho Jakaya Kikwete juu ya nafasi ya urais 2015,

' wengi walidhani kuwa JK amemsaliti Lowasa na kuunga mkono kambi ya Membe kumbe la hasha bado JK anamuandalia makao Lowassa'. Hayo ni maneno ya kiongozi wa Nec aliyekuwa akichekelea mtafaruku huu mkubwa unaodhihirisha kuwa JK kama mwenyekiti wa ccm amepanic kutokana na speed ya CHADEMA hadi amejikuta akitoa maagizo yanayopishana wazi kabisa na maazimio ya NEC ya ccm yaliwekwa hadharani hapo awali na Mangula.

My take.
Wale makada waccm wanautumika kama big.G huu ndo muda wao maalum wa kutemwa rasmi JK na viongozi wengine wa ccm wenye uchu wa madaraka.

Sakata hili pia linadhihirisha kuwa JK amewaingiza mkenge puppets wengi sana wa ccm.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Jioni hii Nape is on record akisema kuwa kuruhusiwa wagombea kujinadi tokea sasa ni uzushi mtupu, sasa hako kandege kako kaulize imekuwaje tena?
Au kuna NEC ya wapashaji wako!
 
Kwa mujibu wa kada wa CCM ambaye ni mjumbe wa NEC ambaye amavujisha siri hii, inasemekana kuwa Mh Mangula alipotoa kauli ya kukataza wanaccm kujinadi kabla ya kipindi cha uchaguzi alisababisha Mh.Lowasa na wengine wengi wenye uchu na madaraka 2015 kuchukizwa na kauli hiyo na kuamua kufanya kila namna kahakikisha Mangula anadhibitiwa vema ama anafanyiwa kila namna hadi ajiunge na kambi ya Lowassa ili apunguze msuli dhidi ya harakati za mbunge huyu wa monduli.

Kwa mujibu wa kikao cha JK na wabunge kilichofanyika dodoma hivi majuzi, JK amedhihirisha kwenda kinyume na msimamo wa Mangula kwa kutoa amri kuwa wanaccm wanaotaka kuwania nafasi za urais na ubunge kupitia ccm ni ruksa kuanza kujipitisha kwa wapiga kura.
Kauli hii tata ya Mwenyekiti wa ccm mrisho jakaya kikwete imeshangaza wengi hasa baada ya kudhihirisha kuwa ni kauli inayopingana na maazimio ya awali yaliyopitishwa na kikao cha Nec yaliyotangazwa na Mangula ambaye ni m-nec wa ccm.

Viunga vya ccm vya ndani kabisa vinapasha kuwa baada ya JK kuonyesha wazi kuwa anasupport harakati za kujinadi zinazofanywa na Lowasa pamoja na wanasiasa wengi wa ccm kumesababisha mpasuko wa hatari ndani ya ccm ambapo mwisho wa siku tutajionea jinsi Mh. Mangula pia anajisalimisha kwa Lowassa mithili ya mbwa koko aliyekutana na chatu na wengine watasambaratika kila mmoja kivake bila kujitambua.

Huu unaitwa ni mpasuko ndani ya ccm kwasababu makada maarufu wameshaanza kutupiana maneno makali hasa baada ya wengine kugundua kuwa wanatumiwa vibaya na JK mithili ya mbuzi wa kafara.
Nape Nnauye ni Kada mashuhuri wa ccm ambaye ameonekana dhahiri kutetereka na mwenye hofu kubwa hasa baada ya kumuona JK akimsifia Lowasa hadharani na akimpa ruhusa ya kujinadi kwa wapiga kura kwa ajili ya urais 2015.

Wachambuzi wa maswala ya siasa wanakiri kuwa JK ameanza kudhihirisha kuwa anamsanifu Membe na na nia yake kuu ni kumrithisha Lowasa kiti cha kugombea urais 2015 kupitia CCM.

Makambi yote ya ccm yaliyokua yakiwania nafasi ya uwakilishi wa rais yameanza kuyumba gafla baada ya kutatanishwa na msimamo wa nwenyekiti wa CCM Mh.Mrisho Jakaya Kikwete juu ya nafasi ya urais 2015,

' wengi walidhani kuwa JK amemsaliti Lowasa na kuunga mkono kambi ya Membe kumbe la hasha bado JK anamuandalia makao Lowassa'. Hayo ni maneno ya kiongozi wa Nec aliyekuwa akichekelea mtafaruku huu mkubwa unaodhihirisha kuwa JK kama mwenyekiti wa ccm amepanic kutokana na speed ya CHADEMA hadi amejikuta akitoa maagizo yanayopishana wazi kabisa na maazimio ya NEC ya ccm yaliwekwa hadharani hapo awali na Mangula.

My take.
Wale makada waccm wanautumika kama big.G huu ndo muda wao maalum wa kutemwa rasmi na JK pamoja na viongozi wengine wa ccm wenye uchu wa madaraka.

Sakata hili pia linadhihirisha kuwa JK amewaingiza mkenge puppets wengi sana wa ccm.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Nakubaliana nawe
 
Ha ha ha haaa..! Mimi na JK hatukukutana barabarani..! Lazima rais ajae atoke kaskazini..! Haiwezekani miaka yote rais awe anatoka ukanda wa wala samaki tu..!
 
Hakuna mpasuko wala mlegezo! hii habari ni storm in a tea cup
Naona sasa ITV Nape anasema .....
" kuna watu wanamgombea wao wa kuchonga, aliyepungukiwa na sifa, wanaweka maneno ya oungo mdomoni mwa mwenyekiti ili kumbeba mgombea wao asiye na sifa, kwa manufaa yao"

Kazi kwa wapambe nuksi!
 
Mgawanyiko bado, mgawanyiko utaonekana dhahiri kwenye bunge la bajeti la mwaka 2015. Mambo bado, na kutakuwa na kambi tatu tu. Na nawakumbusha tu kuwa hela zitamwagwa sana mwaka 2015, mfumuko wa bei utaongezeka, na wachache wataneemeka, lakini kumbukeni wahenga walisema, wapambanapo mafahali wawili, ziumiazo ni nyika
 
Upinzani umejaa kelele tuu hawaonyeshi njia, ccm itabaki kuwa chama imara
 
Kwani lowassa cyo mwana ccm? Hofu mnayo nyie cdm na cyo ccm.
 
So nape nnauye -used and eliminated

SSent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
wataweweseka sana .dhuluma ni mbbaya jamani!!!!
 
Nape nadhani atahamia CDM punde lowassa akitawazwa kuanza kampeni!!
 
Mimi si mwana ccm, nionavyo ni kuwa angalau MEMBE anaheshima kidogo mbele ya jamii ya watanzania ukilinganisha na LOWASA miongoni mwa wana ccm wanaotajwa tajwa kuwa na nia ya kutaka kupanga magogoni. Mshambulizi dhidi ya lowaza ikiwa ataomba na kupewa ridhaa na wanachama wa ccm kuiwakilisha ccm kwenye mbio za kwenda mtaa wa luthuli aka magogoni yatakuwa mazito na ya silaha za maangamizi yatakayosababisha chama kupoteana na wanachama wake.
Lowasa atashindwa kwa aibu kubwa afadhali atakavyoshindwa membe.
chezea watanzania weye!

LUGHA HII WATAIELEWA WENYE MASIKIO
 
Back
Top Bottom