Hivi kweli Rais wa nchi unaweza kuthubutu na kusema foleni za Dar ni middle class imeongezeka, for ur info ni kuwa this is among the shortfall ya serikali ya CCM,with PLANNING NA VISION sijui kama tungelipata matatizo haya,PLANNING,PROJECTIONS zingeonyesha tufanye nini, barabra za juu zingelikuwepo 10 yrs ago, mfano mzuri angalia barabara ya uhuru- buguruni , its time now hiyo barara ingekuwa double lane, lakini tunaruhsu ujenzi usio na maana , MADIWANI NA MAYOR WA CCM ndo wmekuwa planners na SURVEYORS, kwanini turuhusu majengo makubwa yajengwe along this streert, in fact yanafanya expansion ya barabara kutowezekana,in future jiji / serikali haliwezi kumudu compesation . IMAGINE 10 yrs ago kama wangesimamisha ujenzi wa majengo makubwa fidia ingelikuwa kidogo, Leo JK anatudaganya eti foleni ni maendeleo( middle class),in Short serikali haiko serious. kama hauko serios na responsible means HUNA ADABU, tarh 31 kura kwa DR wa ukweli:israel: