Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
Nahesabu ni mara ngapi rais mstaafu amemtembelea rais aliyeko madarakani. Sihitaji kujua anatafuta nini lakini siyo dalili nzuri kwa mstaafu kurudi rudi ofisi uliyotoka. Kwa ajira zingine utaitwa mtu unayesikitika kuacha kazi.
JK alipoingia madarakani mbona hakutemebelewa na Mkapa mara nyingi kwa muda mfupi kama huu? Hakuna anayetaka kuingiliwa ktk utawala wake.
hamuachi mwenzake akafanya kazi kwa raha .....kila siku kiguu na njia .....anaenda kumuwangia nini?? .....naona hata taarifa ya habari hawakutoa video footage bali waliweka picha tu..na hawakusema wameongea eneo gani ...watakuwa wamechoka ugeni wake pale ...kasahau nini ??
muda kama huu mwenzake Mkapa alihamia Lushoto kabisa mwaka mzima hakuonekana mjini akawa anapiga whisky zake akimuacha Kikwete afanye kazi kwa utulivu na kupanga serikali ...