JK mara ya pili kumtembelea Magufuli

JK mara ya pili kumtembelea Magufuli

Nahesabu ni mara ngapi rais mstaafu amemtembelea rais aliyeko madarakani. Sihitaji kujua anatafuta nini lakini siyo dalili nzuri kwa mstaafu kurudi rudi ofisi uliyotoka. Kwa ajira zingine utaitwa mtu unayesikitika kuacha kazi.

JK alipoingia madarakani mbona hakutemebelewa na Mkapa mara nyingi kwa muda mfupi kama huu? Hakuna anayetaka kuingiliwa ktk utawala wake.
 
Anaenda kumtembelea au anaitwa, kuna mikataba anatakiwa anyooshe maelezo.
Hoja yako inaweza kuwa kweli! Ile mikataba mingi aliyosaini Jk na Rais wa China huenda JPM anataka kuisambua, hivyo jamaa anaenda kujihami!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hao wazungu hawakumaanisha hiyo "site" yako.
Ulifaulu kwa kukariri weye! Kwa hiyo nikiandika Gd 9t hautaelewa au umo humu jamvini kujifunza lugha, hapa hatufundishi grammar bali tunabadilishana maujuzi, habari na
takwimu na matukio hata kwa short hand inapobidi ili mradi ujumbe ufike; jiongeze!
 
Kw
JK ni Mwenyekiti wa CCM, chama ambacho kimeshinda uchaguzi na kinashika dola chini ya Rais Magufuli. Hakuna cha ajabu hapo
Kweli hata akiamua kulala huko huko ikulu haina shida kwani anafuatilia utekelezaji wa sera za chama. Na utaratibu wa nchi hii ni kuwa chama kinaweza kumvua uanachama kiongozi yeyote aliyepata ubunge au urais kupitia chama hicho na akapoteza nafasi yake. Hivyo Pombe hata apige misele vipi lazima amsikilize JK kwani ndiiye kashika mpini. John akifanya yake kinyume na matakwa ya chama anaweza kuvuliwa uanachama na hivyo kupoteza nafasi ya urais aliyo nayo. Hivyo kiitifaki ya chama hapo bosi ni JK. Anaweza kukaa zake pale Lumumba na kumwita John aende kuonana naye kule. Sema kwa yeye kumfuata ikulu ni ungwana tu alionao mtoto wa watu JK
 
Nawe una matatizo. Yaani anapeleka ajenda za chama kwa rais wa nchi ambaye hana nafasi yoyote kwenye chama hicho? Walipojieleza ktk mchakato wao pale Dom, kila mjumbe alijidai hana swali kwa wagombea, leo hii anaanza kazi maswali kila siku.

Yeye alipoingia Mkapa alikuwa Mwenyekiti. Alirudi rudi kumukumbusha mambo ya chama? Kuna kasoro hapo. Akae kwake ili kama anahitajika atatembelewa Lumumba. Nyerere alikuwa anafuatwa Butiama.
Sasa labda tuhoji wale mameya waliposhinda walienda kwa mzee wao ana cheo gani ndani ya chama?
 
Kuna safari alisha ziconfirm kusafiri kabla hajaondoka na zimefutwa na Magu, so anakwenda kuuliza kulikoni
 
Mkwere bhana hana hata mshipa wa aibu
 
Ni raha sana kuishi Africa huyu jamaa na maovu yote aliyotenda ndani ya ofisi kuu ya nchi hii bado anapatembelea bila woga wala aibu?.
Kwa wenzetu walio na damu za nchi zao mwilini mwao hata wasingeruhusu Rais wao wanae amini ni mzalendo kukutana na yeyote anaeaminika kutoitendea haki nchi yao.
 
Ninachoona hapa ni umbea na usengenyaji usio na maana, kabla hamjaanza kumsema mtu vibaya ni bora mkafanya uchunguzi au kuuliza je alikwenda ikulu kwa inshu gani, aliitwa na raisi au kuna suala gani limempeleka pale, sizani kama JK ni mpuuzi kiasi hicho kwenda ikulu bila ya mwaliko.. Mkishajua kilichompeleka ndio muanze kulaumu au kupongeza sasa

period
Hivi kwako kwa vipimo vyako ili MTU awe mpuuzi ni mpaka afanye vituko gani ili ukubari Hutu ni mpuuzi?
Nchi haikuwa na Rais kwa miaka takribani 10 bado MTU Huyo si Wa kumpuuza?
 
JK ni Mwenyekiti wa CCM, chama ambacho kimeshinda uchaguzi na kinashika dola chini ya Rais Magufuli. Hakuna cha ajabu hapo

Kwani Mkapa alipoamua kukaa mwaka mzima Lushoto akipumzika na kutoka mara chache hakuwa Mwenyekiti wa chama ?? na yeye si alimuachia baada ya muda fulani
 
Back
Top Bottom