EL kuwa pembeni ni msaada ulifanywa na Bunge na sio ujasiri wa . Ndio kusema Jk anategema msaada wa Nape na mkama na yeye mwenyewe hana ujasiri wa wa kuwatosa. Je JK hajui mamlaka na nguvu ya rais na mwenyeiti wa chama.
Najua hakuna wa kumfunga kengele kwa sababu yeye ni rais lakini sisi wananchi wake tunapolalamika ndiyo tunamfunga paka kengele hata kama akiamua atakavyoamua kuwaonea wenzake lakini tumesema kuwa kwenye dili walikuwa wote na hilo halitafutika milele.Q: nani amfunge paka kengele?
Kwa nini umefikiria hivyo?
Can u tell us more Mkuu?
Kautoa ujarisi huo wapi na lini.
JK kama rais wa tanzania serikali yake imewashtaki Mramba na yona. Lakini JK huyo huyo kama mwenyekitu wa CCM kashindwa kumwambia mramba kaa pembeni kwenye ubunge kwa chama ninachoongoza.
JK kama rais serikali yake imemchunguza chenge juu ya utata vijisenti vyake na kuhusika na ufisadi wa rada. hakuna asiyeua UK kufunga jalda la kesi ile sio uhalaai wa cheg kutokua na hatia. JK huyo huyo kashindwa si tu kumshatiki chenge lakini hata kumzuia asigombee ubunge
Sasa kama hata ambao kwake ni dagaa kawashindwa sasa kina EL na RA atawaweza au ataendelea kufanya maigizo ya kudeal na kina liyumba
EL kuwa pembeni ni msaada ulifanywa na Bunge na sio ujasiri wa . Ndio kusema Jk anategema msaada wa Nape na mkama na yeye mwenyewe hana ujasiri wa wa kuwatosa. Je JK hajui mamlaka na nguvu ya rais na mwenyeiti wa chama.
Rais JK, leo akiongea katika Tamasha la Muziki wa Injili liliohusisha vikundi vya kwaya toka nchi mbalimbali alisema:
"Katika kushughulikia swala la mafisadi, haki itatendeka na hawatamuonea haya mtu yeyote"
Source: ITV News Bulletin of 8.00 PM
Mkuu, anajua. Ila anashindwa kuyatumia vema kwa faida ya Nchi.
Zing;
Nakuelewa ...
Ujasiri huo autoe wapi leo? He has never shown the character before... Atoe wapi Ujasiri leo..
Tunachukulia mzaha lakini ... Kweli akifanya hivyo ...Kuna kitu kingine hatukijui... Na wala sio jambo la kupigia makofi.
JK bwana anafurahisha sana mambo yake ...
Unafikiri suluhisho mwafaka lingekuwa ni lipi hasa ikizingatiwa kuwa "amechaguliwa" kuwa Rais recently?
Unafikiri suluhisho mwafaka lingekuwa ni lipi hasa ikizingatiwa kuwa "amechaguliwa" kuwa Rais recently?
Issue nyingine; amefurahishwa sana na tamasha hilo kwamba uwepo wa watu wa dini mbalimbali na kusema hicho ni kielelezo kuwa Umoja wetu na mshikamano wetu bila kubagua dini.
Alisema yeye mwenyewe katika familia yake ana ndugu wa kristo na waislamu na wanaishi vizuri. Pia alisema baada ya baba yake kufariki wao walilelewa na Baba yao waliokabidhiwa ambaye ni Mkristo Msabato SDA.
Rais JK, leo akiongea katika Tamasha la Muziki wa Injili liliohusisha vikundi vya kwaya toka nchi mbalimbali alisema:
"Katika kushughulikia swala la mafisadi, haki itatendeka na hawatamuonea haya mtu yeyote"
Source: ITV News Bulletin of 8.00 PM
![]()
Msafara wa Rais Dr. Jakaya Kikwete ukiwasili katika ukumbi wa Diamond Jubilee ambako alikuwa mgeni rasmi katika tamasha la Pasaka linaloandaliwa kila mwaka na kampuni ya Msama Promotion chini ya Mwenyekiti Alex Msama. Tamasha hilo limekutanisha waimbaji wa muziki wa injili kutoka nchi za Afrika Mashariki na maziwa makuu kama vile Zambia DRC Congo, Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda na Tanzania.
Picha: Jiachie Blog