JK: Mafisadi hatutawaonea haya

Siku Kikwete akijikamata na kujitia msalabani nitaamini ameshughulikia mafisadi. Maana mchawi anayetafutwa na JK na CCM si mwingine isipokuwa Kikwete mwenyewe na genge lake na familia yake.

Najua ataendelea na ahaa muache mzee Mkapa apumzike jamani. Ahaaa niache mimi na Salma tupumzike jamani. Ahaaa niwakamate hata Edward na Rostam wawezeshaji wangu wakuu! Looo! Nimkamate hata mwanangu Ridhiwani!
You must be kidding...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom