Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,462
Wachambuzi na wadadisi wa Mambo wanasema kwamba muda si Mrefu JK ataweza kuivunjilia Mbali Sekretariati Aliyoiunda Dodoma. Sababu ni kwamba Kabla Sekretariati haijaanza Kazi ya Kusafisha Chama Baadhi ya Wajume wanajikuta katika Jukumu kublwa la Kujisafisha wao kwanza. Inaonekana kwamba Badala ya Sekretariati kujikita katika kurejesha Imani ya Wananchi kwa Chama wajumbe wake watakuwa na wakati Mgumu wa Kujibu Tuhuma kama
1. Zakhia Meghji: Huyu alikuwa waziri wa Fedha na alifanikisha Uporaji Mkubwa BOT kupitia Kagoda, Deep Green n.k. Ikumbukwe ni Zakhia Meghji aliyeandika barua kufast Track Malipo ya Kagoda kwa Maelezo kwamba "Ni Suala la Usalama wa Nchi". Sasa huyu anakuwa Mwekahazina wa Chama. Je Sio kwamba amewekwa kwa sababu anajua Loope Holes za BOT na namna ya Kukwapua Pesa za Walipa Kodi?
2. Kinana. Huyu jamaa anatuhumiwa kujihusisha na Meli zinazosafirisha Nyara za Taifa. Ni Juzi tu Meli yake imekamatwa na Pembe za Ndovu. Huyu jamaa ingawa alinekana kama Asset kwa CCM lakini Mara baada ya Kuchaguiliwa tayari ameshakuwa Liability
Je JK atamudu kwenda na Hii Sekretariati mpaka 2015
1. Zakhia Meghji: Huyu alikuwa waziri wa Fedha na alifanikisha Uporaji Mkubwa BOT kupitia Kagoda, Deep Green n.k. Ikumbukwe ni Zakhia Meghji aliyeandika barua kufast Track Malipo ya Kagoda kwa Maelezo kwamba "Ni Suala la Usalama wa Nchi". Sasa huyu anakuwa Mwekahazina wa Chama. Je Sio kwamba amewekwa kwa sababu anajua Loope Holes za BOT na namna ya Kukwapua Pesa za Walipa Kodi?
2. Kinana. Huyu jamaa anatuhumiwa kujihusisha na Meli zinazosafirisha Nyara za Taifa. Ni Juzi tu Meli yake imekamatwa na Pembe za Ndovu. Huyu jamaa ingawa alinekana kama Asset kwa CCM lakini Mara baada ya Kuchaguiliwa tayari ameshakuwa Liability
Je JK atamudu kwenda na Hii Sekretariati mpaka 2015