Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
- Thread starter
- #21
enhee...pale kidogo alivaa ngozi nene maana kidogo alitoa maneno magumu kumeza kwa kiasi fulani...inaweekana hata ile houba aliandikiwa na akalazimishwa ayasome yaliyokuwemo au alipewa sekunde chache kabl ya kuingia kwenye mkutano hivyo akawa hana jini ya kufanya..ikambidi aisome tu hata kwa shingo upande!
mara ya mwisho kumsikiliza ni siku alipowachana live waislamu kule Dodoma kuhusu madai yao ya OIC,Mahakama ya Kadhi.... Na sijui ile hotuba aliandikiwa dhaifu yule?