Hapana hajakubali. Ila ili kelele zinazoongezeka za kudai katiba mpya zipungue bora kuonyesha kwamba amekubali.Kwa kuikubali hoja ya katiba mpya kiulaini hivi,...si bure lazima "kutaingizwa" mapendekezo ya raisi kuongoza kwa vipindi vitatu ili agombee tena 2015!
Kama sio hilo,basi kuna kitu anataka ndani yake and its not for the good!
Binadamu bwana! Cjui ni lipi jema kwao. Kwani ulitaka asubiri hadi vita itokee ndo akubali katiba mpya?Kwa kuikubali hoja ya katiba mpya kiulaini hivi,...si bure lazima "kutaingizwa" mapendekezo ya raisi kuongoza kwa vipindi vitatu ili agombee tena 2015! Kama sio hilo,basi kuna kitu anataka ndani yake and its not for the good!
Binadamu bwana! Cjui ni lipi jema kwao. Kwani ulitaka asubiri hadi vita itokee ndo akubali katiba mpya?
:bump:hivi hadi leo unampima mtu kwa facial expression.............???pima wengine lakin sio mwidhi ka yule.Jamani tumuonee huruma, kama mlimuangalia vizuri ameongea kwa upole sana. Ile hali ni tofauti na siku zingine, nakumbuka siku alipotutishia wafanyia kazi wengine, na wakati anatetea Richmond, Dowans, na hata kupigia debe Lowassa na Mramba jamaa alikuwa na jeuri hata usoni, HAPA AMEWEKWA KWENYE KONA KALI TENA FINYU, TUMKABE MPAKA KIELEWEKE, TUKIMUACHIA BASI MJUE TUNAMUUMBA GHABO MPYA MAANA HATUJAMSIKIA AKIMLAANI MWENZAKE KWA KUWA KING'ANG'ANIZI. HAWANA AIBU HAWA JAMAA TUONGEZE NGUVU TUOKOE NCHI YETU JAPO IMESHALIWA SANAarty: