macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,846
- 39,719
Zito anaandamwa kwasababu ameshagundulika ni mnafiki, mbinafsi na hawezi urais anaouta usiku na mchana. Iko elewa sasa dugu?Mimi nashangaa kitu kimoja. Aliyesema wazee wanaotaka urais mwaka 2015 ni JK lakini mashambulizi yote yako kwa Zitto ambaye aliyasema haya kujibu hoja na nini mtazamo wake tena basi ktk warsha ya vijana. Hivi mlitaka Zitto aseme kwamba hapana wazee tu ndio waendelee kuongoza nchi wakati hana hata haelewi sifa ya uzee kuwa rais ni nini, halafu mbele ya vijana wwalioandaa warsha hiyo. Au kwa tafisri zenu kusema kwake lazima kunamaanisha unautaka Urais?. Jamani mbona mnayafanya mabadiliko kuwa magumu kiasi hiki hivi kweli vijana nyie mtaweza kutukomboa au ndio tarariraaa kama siye hapa..Vijana hasa wa Chadema kwa nini mnamwogopa Zitto kiasi hiki?