JK: Hatutaki Rais mzee 2015


this name is quite unfamiliar as far as chadema politics is concerned,can you please remind me who are you?you guys are busy chewing each other out,washing your dirty laundry in public yet calling yourself chadema leaders!!!kila post yako unampigia debe zitto kiasi kwamba nahisi hata yeye mwenyewe anakasirika na hii tabia yako ya kujipendekeza,..is that why you calling people haters?if you are truly chadema leaders like you say you are stop bitching up on the internet and settle your issues in internal meetings!!!ps..you talk too much,if you really have a dream to climbing to the higher positions,learn to speak a little and listen more.
 
These matters remains in doubt. We have to understand that JK, opinion his for who can contest for the presidency,
must to start from the age 35 and on. For what he has says is not an offence, he has rights to bring out his opinion same like other Tanzanians. But in this case did't concerned other political partys, it was a massive attack within his rival inside is Ccm party, for the other way round you can say vindictive within his rival.
Matter of the age for who can contest for Presidency, is very easy to solve it, is only in the new constitution,
everyone must to share his idea and to make the new constituition to become superior, Has the way we share our
opinion it shows that many people are more bright and brains capable of functioning, that's mean the exchanging of opinion is very high. I respect you all, with expectation we can make a new constitution in time.
 

labda jamaa anatoka kigoma
 
Haya haya JF kumewiva...
nadhani tusianze kulalama wakati mipango ya JK inahusiana na CCM pamoja na kambi yake ndani ya CCM hivyo anachokisema yeye ni ndani ya chama na sio maamuzi ya wananchi wapiga kura. Kama yeye anafikiria ni wakati wa vijana na anazo sifa za kutosha kwa kijana anayemlenga wapiga kura watatoa maamuzi yao.

Binafsi yangu naamini kabisa kwamba Hekima na Busara huja kwa Umri kama barehe, na wapo waliojaliwa vipaji hivi wakakomaa kisiasa mapema zaidi ya wengine. Kiongozi yeyote anayefikiria kwamba tofauti za vyama hazina maana basi yeye sii mwanasiasa kwa sababu SIASA ndio humjenga mtu na siasa ni chama. Kama una fikra zako tofauti na mtazamo wa chama as independent bora zaidi ujitambulishe na fikra hizo kuliko kuwa mbwamwitu aliyevaa ngozi ya kondoo maana huwezi kuendelea kula nyasi ili hali nafsi yako inakupa hakuna haramu kula nyama.

Ningewashauri vijana wetu hawa kina Zitto na Makamba, kama wanaona wako ktk vyama ambavyo havina malengo ya kuwakomboa vijana na wao wanataka kupigania haki za vijana basi hakuna tatizo kuanzisha chama chao ambacho watashiriki kikamilifu kupigania haki hizo kwa sababu nachokisoma hapa ni utengano mtupu. Hii vita ya Vijana vs Wazee na wakasahau kwamba Tatizo la ajira na umaskini nchini ni la Kitaifa na kulingana na itifaki zetu mzazi iwe mzee kiasi gani yeye ndiye refa na mwenye mamlaka makubwa ktk jamii yetu. Ikumbukwe tu kwamba marais waliotangulia walitoka CCM na sii swala la uzee wala ujana bali viongozi wenye sifa ya kuongoza ndio walichaguliwa japokuwa haikuwa hivyo.

Hatuwezi kuyataka mapinduzi ya kijamii kupitia umri, hapa tutakuwa tunaanza vita nyingine baina yetu japokuwa kweli wazee wetu hawapendi kuachia madaraka kutokana na hofu FEAR ya kufa maskini. je, vijana wanayo haki ya kugombea Urais?... bila shaka haya maswala ya WAZEE kupangia watu umri unaotakiwa kugombea urais ni moja ya mbinu chafu yab kisiasa ambayo inaonyesha kinga ya wazee, ili wao wapate kula nyama za paja, maini na virigisi.
 

Ninaomba nikukosoe ndugu yangu,walikaa 1980s wakaona 40yrs inawafaa kwa wakati wao na sisi tunayo haki ya kukaa na kupima iwapo 40yrs inatufaa au iongezwe/kupunguzwa.Zitto na January wametoa maoni yao kama watanzania wengine ktk mchakato wa katiba mpya.
 

Some recent thinkers seem to have given their moral support to these deplorable verdicts by affirming that an individual's intelligence/wisdom is a fixed quantity, a quantity that cannot be increased. We must protest and react against this brutal pessimism; we must try to demonstrate that it is founded on nothing

Wengine hatuna tabia za kujipendekeza kama baadhi yenu mkuu.Na pia wengine hatuburuzwi kama mlivyo baadhi yenu,wengine hatutegemei group thinking kama wengine walivyo.Wengine hatuogope kutengeneza maadui,hatujali juu ya kuongeza au kupunguza marafiki.Tunajali Truth,the truth that will set us free.Principles and radical stance on the tenets of Democracy and not otherwise !

And before anyone thinks of writing nonsense to my response, you better think twice and keep stepping. Did not comment on yours so do not comment on mine! Thank you! This is not a private chat session please..just face the topic!!

Iam out for today!
 
2015 atasema sasa ni zamu ya Wazanzibar urais!! JK ana hoja mfu.
 
Hii kauli ina siri nzito nyuma ya pazia. Kauli ya JK si ya UMMA.
 

Rais wa 2015 atatoka Chadema naye ni Dk. Wilbroad Slaa, msomi wa kweli sio kama yeye Kikwete anayepewa shahada za heshima kila siku, apumzike atuachie cdm tulete maendeleo. Hatujali CCM wataweka mzee au kijana
 
Katiba itapoteza umaana wake ikiwa itaweka vipengele ili kutimiza matakwa ya mtu au kikundi cha watu...katiba pia itapoteza maana ikiwa itaweka vipengele vinavyonyima mtu au group fulani ya watu haki kupata au kutumia haki yao ya msingi..heri mzee mwenye uadilifu kuliko kijana fisadi na pia heri kijana mwenye hekima kuliko mzee mpumbavu
This thing is constitutional so wananchi waamue sio kuzungumzia kwenye femina HIP au NEC/CC
 
Wazo linaweza kuwa zuri, ila kwa vile limetolewa na Zitto siwezi kulikubali. Huyu jamaa hufanya maamuzi yake mengi kwa kuzingatia maslahi yake binafsi na ya marafiki zake ambao wengi huwa maadui wa chama chake (CDM)
 
Na ndio maana chaguo letu ni Lazaro Nyalandu-USA
 
kwani kipengele cha kuwa na shahada ya kwanza kipo kwenye katiba ya JMT au ya CCM??
 
Mimi nashangaa kitu kimoja. Aliyesema wazee wanaotaka urais mwaka 2015 ni JK lakini mashambulizi yote yako kwa Zitto ambaye aliyasema haya kujibu hoja na nini mtazamo wake tena basi ktk warsha ya vijana. Hivi mlitaka Zitto aseme kwamba hapana wazee tu ndio waendelee kuongoza nchi wakati hana hata haelewi sifa ya uzee kuwa rais ni nini, halafu mbele ya vijana wwalioandaa warsha hiyo. Au kwa tafisri zenu kusema kwake lazima kunamaanisha unautaka Urais?. Jamani mbona mnayafanya mabadiliko kuwa magumu kiasi hiki hivi kweli vijana nyie mtaweza kutukomboa au ndio tarariraaa kama siye hapa..Vijana hasa wa Chadema kwa nini mnamwogopa Zitto kiasi hiki?
 
Si kwamba haruhusiwi kutoa maoni, lakini kama umemwelewa yeye anachotaka ni kuhakikisha watu fulani hawachukui hiyo nafasi, amesema kinafiki zaidi..hatukatai kama angesema anatoa tu maoni, lakini hapa uelewe kuwa yeye anatoa azimio, kwamba iwe hivyo sio ndio Rais anatake aache vijana wa kumlinda.
 

Haa haa haa! Unaona sasa wanasiasa uchwara wa Afrika walivyo na akili mbovu! Wanataka kubishana hata na sayansi! Kwao wanaangalia jambo kwa mtazamo wa mbwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…