mzawahalisi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 752
- 237
hawa wakuu wawili wana tatizo moja linawakabili ndiomaana mnaona wamechoka. Tatizo hilo ameliweka vizuri mama Theresa.
''Hunger for love and appreciation''. Wanajua hawana rafiki wa kweli na wengi wa walio wazunguka ni wanafki tu. May God cure them, amen.
''Hunger for love and appreciation''. Wanajua hawana rafiki wa kweli na wengi wa walio wazunguka ni wanafki tu. May God cure them, amen.