Mambo mazito ya kitaifa yaongee kwenye PRESS CONFERENCE, unanipata mkuu, achana na vijukwaa vya wazee wa SISIEM huko ongelea masuala ya propaganda za chama chako, siyo masuala nyeti kama DOWANS, MIGOMO YA WANAFUNZI, MISHAHARA... au mzee unaogopa challenges toka kwa waandishi? Huoni wenzako.