Tutajie hao mawaziri.
Rais amepata safari ya juu kwa juu toka Sri Lanka na sasa yuko Poland kuhudhuria mkutano kuhusu mabadiliko ya tabianchi. Alipita kwa muda Dubai jana na leo asubuhi kaingia Warsaw
Akitoka hapo achague nchi nyingine aende
Mpaka wakati anang'atuka atakua kamaliza nchi zote duniani
Ameenda hadi poland? Sasa membe anafanya kazi gani?
Si angemwachia mzee wa mikasi naye akaoshe macho? Maana hIi 'tabianchi' inaangukia kwenye ofisi yake!
Rais amepata safari ya juu kwa juu toka Sri Lanka na sasa yuko Poland kuhudhuria mkutano kuhusu mabadiliko ya tabianchi. Alipita kwa muda Dubai jana na leo asubuhi kaingia Warsaw
Kabakisha nchi mbili tu amelize kuizunguka dunia.
somalia na Iraq
atapokelewa na mkuu wa wilaya safari hii