JK awasili Poland leo

JK awasili Poland leo

kwanini asipewe ubarozi wa heshima wa dunia kwa jinsi anavyokata mbuga ivi safari moja ni bei gani?
 
Huyu Vasco dagama wetu nafikiri bado nchi kama 3 hivi hajafika

Somalia
Iraq
Afghanistan

Tunaomba IKULU iandae utaratibu wa kumfikisha huko Vasco dagama wetu..
 
Mkutano wa jumuia ya madola ushaisha? JK kala miguu ya kuku sijui...kiguu na njia...hana hata muda wa kukutana Na wenzie wa jumuia ya Afrika ya mashariki.

ndo maana wanamu ignore maana ana mambo ya kitoto sana ...anapenda kuzurura na kuhudhuria vikongamano vidogo vidogo utadhani mwanafunzi wa chuo bana...tabia nchi ya wapi ?au msoga?
 
Inabidi ikulu ifanya mawasiliano na NASA ili waweze kumwandalia safari ya kwenda kwenye mwezi na Mars ili aweze kukamilisha ndoto zake nadhani huko ndio kiu yake

NASA_Mars_Rover.jpg
 
Back
Top Bottom