JK awasili Malabo, Guinea ya Ikweta

JK awasili Malabo, Guinea ya Ikweta

Nchi muda huu iko gizani lakini JK kafika huko kwenye umeme salama !!
Watu wenye Dual Citizen ni kuchanja mbuga tatizo ni sie mwenzangu na mie mwenye Single Citizen ni hapa hapa tu.
 
kila nikiangalia sioni nchi aliyobakiza huyu jamaa labda mars
 
uzi wa safari za Kikwete huwa siachi kusoma mpaka mwisho. yaani mchango yenu ni full shangwe. safari hizi inauma na kuligarimu taifa lakini kwa kweli michango yenu imeniacha sana mbavu.

Duh! Uchelewi kusikia akitoka huko anaunga Mpaka Syria, Iraq na somalia.

Aende na Somalia na Djibouti ili awe amekamilisha kutembelea nchi zote za Africa!

FaizaFoxy, Mwigulu Nchemba, ACHEBE, MwanaDiwani, Nape Nnauye, Ritz, Tandale one, MSALANI, Lizaboni, Chris Lukosi...bila hizi safari wananchi tungekufa njaa! Hakuna kama Kikwete! Napendekeza aongezewe miaka mingine mitano; natabiri atakuwa mswahili wa kwanza kutua mwezini!

kila nikiangalia sioni nchi aliyobakiza huyu jamaa labda mars

The new world explorer on duty
 
FaizaFoxy, Mwigulu Nchemba, ACHEBE, MwanaDiwani, Nape Nnauye, Ritz, Tandale one, MSALANI, Lizaboni, Chris Lukosi...bila hizi safari wananchi tungekufa njaa! Hakuna kama Kikwete! Napendekeza aongezewe miaka mingine mitano; natabiri atakuwa mswahili wa kwanza kutua mwezini!
Mheshimiwa Rais Kikwete pia atakuwa Mwenyekiti wa kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa AU kitakachojadili mazingira. Rais Kikwete na ujumbe wake anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki.
Tatizo la watu kama wewe Mag3 hamtaki hata kuchanganua hoja zinazoletwa hapa na matokeo yake mnaanza tu kulalama bila hata kufahamu kile mnachokilalamikia.

Ulitaka Rais asiende wakati ni Mwenyekiti wa kikao. Jaribuni kuwa objectives.

Kelele za vyura wa kisiasa haziwezi kumzuia Rais Kikwete kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuhusu mambo ya nje.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la watu kama wewe Mag3 hamtaki hata kuchanganua hoja zinazoletwa hapa na matokeo yake mnaanza tu kulalama bila hata kufahamu kile mnachokilalamikia.

Ulitaka Rais asiende wakati ni Mwenyekiti wa kikao. Jaribuni kuwa objectives.

Kelele za vyura wa kisiasa haziwezi kumzuia Rais Kikwete kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuhusu mambo ya nje.
Alivyoenda kwenye kile kikao cha mama na mtoto kule canada nako alikuwa mwenyekiti? Hahahahahahaha mpiga picha bwana
 
Huyo raisi wa Guinee equatorial ana kashfa za ufisadi zinajulikana dunia nzima.Raisi wetu kaenda kufanya nini huko?kujifunza jinsi ya kufisadi mafuta na gas au?
Wala hajaenda kujifunza ni utaratibu wake kila baada ya week 2 kutoka pia anakimap chake cha dunia anatick.Chezea ------ wewe.
 
Back
Top Bottom