Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 171
Kutokana na kauli iliyotolewa na SADC sidhani kama Tanzania ina mpango wa siri wa kuweka USA base kwani itakuwa balaa kubwa sana.
Samahani naomba mnikumbushe, SADC walitoa kauli gani?
Kutokana na kauli iliyotolewa na SADC sidhani kama Tanzania ina mpango wa siri wa kuweka USA base kwani itakuwa balaa kubwa sana.
Hi wote Wanablog,
Hauwezi kulinganisha Iran na Marekani.Marekani wanainfluence katika dunia na ndio maana wazee wanakwenda wenyewe.Ni mara ngapi Rais Mkapa aliwah kumtuma mwakilishi kwenda Marekani?Hivi ni vitu vya kuangalia.Usiangalie Tanzania tu angalia na nchi nyingine kama Pakistan aliyekuwa swahiba mkubwa wa Taliban lakin Marekani alipoomba support ya kuwapiga Watalibu Musharaff aliitikia haraka sana.Wazee wanataka acceptance kutoka kwa bwana Misitu.
Si kweli kuwa anaweza akaenda wenyeji wakamwambia tuko BUSY au kisingizio kingine. Ziara za viongozi wakubwa zinaandaliwa na mabalozi baada ya kuafikiana na serikali husika na ndipo viongozi wanakwenda hivyo usitegemee ata siku moja kiongozi akaambiwa mambo kama hayo.Inawezekana Marekani nao wanainterest na ndio maana wanamwalika mara kwa mara.
Ahsanteni