Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Are you sure kwamba huyu jamaa ndiye mmiliki wa Millenium Hotel ya Bgamaoyo?Mambo hadharani kama hivi:
Hongera Bwana Mpande Home Boy wa JK na Mmiliki wa Millenium Hotel Bagamoyo. Hongera Samueli Meneja Masoko wa ATC, bila ya shaka Mkuu wa Kaya kauona utendaji wako mzuri wa kuongeza Masoko ATC.
Huyu Mrindoko ndiye yule aliyetajwa kwenye Kamati Teule ya Bunge kuhusu Richmond?
tuifufue bila BODY which keep minutes and loose hrs? Honoraria atakula nani nazo ziko kwenye bajeti?Mie ndo nazidi kushangaa???? kwani hii TIPER si ilikufa siku nyingi? bodi ya nini? si ilitupasa tuifufue kwanza au ni ktk ule mkakati wetu wa kuongeza ajira milioni moja?
tuifufue bila BODY which keep minutes and loose hrs? Honoraria atakula nani nazo ziko kwenye bajeti?
bajeti ya vitafunio ipo tangu mwezi wa saba mwaka jana, sasa huoni itakuwa haijatumika?