Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 799
Wana JF msiwe watu wa kukurupuka tuu na maneno. Kipimo cha uadilifu wa JK tutauona pale akiamua kufanya yafuatayo:
-KURECYCLE VIZEE VYA ZAMANI KWENYE BARAZA LAKE JIPYA
-KUMPA UWAZIRI MKUU KIKONGWE KINGONE
-KUENDELEA KUWA NA MAKATIBU WAKUU WALE WALE
-BARAZA LAKE LA MAWAZIRI KAMA LITAKUWA LIMEJAA WAPIGA DOMO/WANASIASA
Kama akaitaka watu wamchukulie serious basi awe na mawaziri 10 maximum
sasa sijajua VX moja ni kiasi gani na kila waziri ana wacost walipa kodi kiasi gani
-KURECYCLE VIZEE VYA ZAMANI KWENYE BARAZA LAKE JIPYA
-KUMPA UWAZIRI MKUU KIKONGWE KINGONE
-KUENDELEA KUWA NA MAKATIBU WAKUU WALE WALE
-BARAZA LAKE LA MAWAZIRI KAMA LITAKUWA LIMEJAA WAPIGA DOMO/WANASIASA
Kama akaitaka watu wamchukulie serious basi awe na mawaziri 10 maximum
sasa sijajua VX moja ni kiasi gani na kila waziri ana wacost walipa kodi kiasi gani