Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Jamani mie nashindwa kuelewa hivi kwa hali ngumu ya maisha na ufisadi huu uliokithiri nashindwa kumuelewa Rais wetu JK au ndio analipiza kisasi kwa sie kutompigia kura maana kihalali aliambulia less than 40% wakati Dr. Slaa alipata more than 60%???
Na ndio kwanza mwaka wa kwanza wa awamu yake ya pili je wakati anamaliza muda wa miaka mitano sijui hali zetu zitakuwaje?
Na ndio kwanza mwaka wa kwanza wa awamu yake ya pili je wakati anamaliza muda wa miaka mitano sijui hali zetu zitakuwaje?