Jamani kwa wale ambao mko maofisini na barabarani maeneo ya city centre....along Ohio str...usumbufu mnaoupata sasa na kele za mafisadi wakijani ni JK anaelekea kuchukua form. Kwani si wangemtumia kwa email tu? Usumbufu huo wote wa nini?
Hillarious...eti wangemtumia kwa e-mail, you just made my day!
Khaa! kwani hana email ya kiofisi pale ikulu? Wanatuma halafu anafungua anajaza na anattach na kuwatumia...angeepusha usmbufu huo wote.
Angalia sasa....nasikia ving'ora huko nje...magari yamesimamishwa tena!. Hivi hamuoni tunapta mihasara ya kufa mtu kwa jambo la kipuuzi tu?
Anaenda kuchukua fomu za nini? JK mbona umekuwa msaliti? Juzi uliniahidi utamuunga mkono Dr. Slaa kwa maslahi ya umma na maendeleo ya nchi kwa ujumla.
Leo nini kimukukumba tena? Nani kakushurutisha kwenda kuchukua fomu?